KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
mambo wana jf? Nlikuwa nafatilia sababu za vita ya walibya na nikajiuliza kwa wizi wa kura wa ccm,(ambao ni sawa na udikteta) kutotoa huduma muhimu kwa raia,haki za raia kupuuzwa,ufisadi na rushwa na mengine mengi. Je ya libya watz hatuyahitaji?