Kuna umuhimu wowote kuwa na vipaza sauti misikitini?

Status
Not open for further replies.
Hivyo ni muhimu vinatumika kama kengele za kanisani. Mimi nakaa karibu na kanisa moja kubwa lina mikengele mikubwa basi ikianza kupigwa hiyo inabidi uweke pamba masikoni lakini silalamiki kwakuwa vyote hivyo vinatumika kwaajili ya kuwaita waumini kwenda kumwabudu Mungu. Tena mimi hivyo vipaza sauti vya msikini huwa navipenda sana kwani vinanisaidia pia kujua majira au muda katika siku. Mfano asubuhi huwa vinanisaidia sana kukujulisha kuwa kumekucha amka ukasali kisha uelekee kwenya kutafuata/kuhangaika. Ameni!

Kengele hazipigwi usiku,pia makanisa yameacha kutumia kengele,na hizo kengele tayari zimekuwa chuma chakavu,hebu na mtu aseme ni kanisa lipi linatumia kengele kuwaita /kuwajulisha waumini wake kuwa sala inaanza/inaisha.Hayo mambo ya kengele ilikuwa zamani ,siku hizi hakuna.Pia mlalamikaji nae ana haki na si msikiti tu ndio wana haki,ni wakati wa kubadilika waumini wako wote hapo hapo hiyo misipika na mikelele saa 10 usiku ni ya nini?
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa
Wewe kazi ndogo tu, nenda kafungue makengele (bells) huko kanisani uje hapo kwako upande juu ufunge hizo kengele kwenye paa na uunganishe na kamba... waona wewe Sasa unapo sikia viipaza sauti nawe anza kuvta kamba ili kengele nazo zigonge sauti...hapo ngoma itakuwa draw !!
 
Vipaza sauti vyote vikatazwe....e.g Ethiopia hakuana kanisa wala mskiti unaotoa misauti, sound Proof! Ila kwa Tz...mh! Takbirrrirrr, allahx3!!
 
kungekuwa na baa inapiga mziki mpaka kunakucha au kungekuwa nakidanguro hapo karibu yako nadhani kamwe usingekuja kulalama hapa jamvini.

watu wanakumbushana kuswali hata kama iwekwa vitisho ww unalalama ???
hivi huwa hujistukii jamaa wanapokupigia makelele kwa Siku Mara 2 na ww wiki nzima hujaenda kanisani ??

a cha hizo bana hapo mtaani kwenu kuna makelele mangapi?
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa
Simply answering!
Bhange ukubwani ni mbaya. Heshimu vya wenzio ambavyo kwako huoni km vina maana, ili nao waheshimu vyako ambavyo kwao havina maana.
 
Kama inawezekana hama hapo ulipo lakini pia huko unakoenda kuwa makini ili usije ukakutana na kitu kama hiki kwa mara nyingine tena.
 
Kengele hazipigwi usiku,pia makanisa yameacha kutumia kengele,na hizo kengele tayari zimekuwa chuma chakavu,hebu na mtu aseme ni kanisa lipi linatumia kengele kuwaita /kuwajulisha waumini wake kuwa sala inaanza/inaisha.Hayo mambo ya kengele ilikuwa zamani ,siku hizi hakuna.Pia mlalamikaji nae ana haki na si msikiti tu ndio wana haki,ni wakati wa kubadilika waumini wako wote hapo hapo hiyo misipika na mikelele saa 10 usiku ni ya nini?
Sawa kwenu yamekwisha na kwa wenzenu ndiyo kwanza wanatumia na zikichakaa au kuwa outdated zanunuliwa mpya fresh na kufunga full sauti.......!! kila ibadaa ina ladhha na lafudhi yake... !! Waisilamu huwa hawaiigi ya Fulani wala ya shetani!! nyie mmechoka na mapito yametimia ...!
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa

hiki ni kiashirio tosha kuwa huna siku nyingi mjini
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa

hii inaonesha wazi kuwa huna siku nyingi hapa mjini
 
Sawa kwenu yamekwisha na kwa wenzenu ndiyo kwanza wanatumia na zikichakaa au kuwa outdated zanunuliwa mpya fresh na kufunga full sauti.......!! kila ibadaa ina ladhha na lafudhi yake... !! Waisilamu huwa hawaiigi ya Fulani wala ya shetani!! nyie mmechoka na mapito yametimia ...!

jimbon dom wanapiga mikengele kila asubuh. wewe unaharisha uongo mtupu. kama cio nyinyi mnaopiga kengele bas ni mafremason wa kanisa
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa

Kwa busara tu, unaonaje ukahama hiyo sehemu?
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa
Mkuu huelewi kinachozungumwa Je, kiswahili ulikielewajee!! Mie nakupa ushauri mzuri tu " uende hapo kwenye kiapaza sauti uonane na Muhusika umwambie akufundishe lugha hiyo au apunguze VOLUME ya vipaza sauti !! alafu uje toa majibu na tija !! mambo kwishennnie!!
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa

acha chuki binafsi ndugu yangu...sala ya mwishi ni saa mbili kisha inayofuata ni mpaka saa 11 alfajiri...sasa wewe ndugu yangu unataka kupumzika masaa mangapi au unamimba hayo masaa yote kuanzia saa mbili na nusu usiku hadi saa kumi na moja asubuhi hayakutoshi kupumzika....vipi kuhusu wale walokole wanaokesha usiku kucha wakipiga kelele na mziki mnene. Acha chuki au ndo ile kunya anye kuku akinya bata kaharisha.....free youy mind duanzi
 
just asking!!

maana hapa ninapoishi imekua kero sasa....nimetegeshewa mspika makelele yote (naita makelele maana sielewi kinachozungumzwa)

naomba kujuzwa na mamlaka zinazohusika nichukue hatua gani maana ninahitaji kupumzika sasa


Kama mimi tu hapa jirani yangu unaweza ukasema Twanga au Akudo wanapiga sebene kumbe Kondoo wanafanya yao kwenye Injili lakini navumilia tu tena wao ni masaa lakini Adhana ni dkk3 imeisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom