mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
je kuna umuhimu wowote wa hawa watengenezaji wa laptop kuweka touch screen kwenye laptop hizo. au ni poor design ambayo hawaifikirii ? je wao wanajali soko tu na sio design nzuri pia.
kwa mtazamo wangu naona haina maana haswa kwa zile ambazo ni touch lakini haiwezekani kuchomoa monitor ,wewe
unasemaje?
kwa mtazamo wangu naona haina maana haswa kwa zile ambazo ni touch lakini haiwezekani kuchomoa monitor ,wewe
unasemaje?