Kuna umuhimu mkubwa kuwapima afya wafanyakazi wa ndani (beki tatu) kabla ya kuwaajiri nyumbani kwako

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,288
12,781
Nimekutana na bwana mdogo akisikitika sana, nilipo muuliza ni kipi kimekusibu?

Kumbe ilikuwa hivi, bwana mdogo alikuwa anachakata mbususu ya bure bure kutoka kwa dada wa kazi (beki tatu) aliyeajiriwa nyumbani kwao, kiufupi kafanya Kama ndiyo mke wake maana bwana mdogo huyo toka alipobalehe mapenzi na utamu wa tunda/kusuuza moyo /kupata mahaba mwanana kajifunzia kwa huyo dada wa kazi (beki tatu).

Bwana mdogo anasema alikuja Uncle wake kutoka kijijini mdogo wake na mama yake, alifikia kwao kulikuwa Kuna mitikasi anafukuzia town, Sasa Anko naye ni binadamu alipomuona dada wa kazi kapendeza, naye akarusha ndoano kama ilivyo kwa dada wa kazi siyo wagumu akamkunjulia anko, anko naye akaanza kula tunda kimya kimya.

Bwana mdogo ananiambia alishangaa yule dada wa kazi (beki tatu) kapunguza shobo kwake na muda mwingi ni story na anko tu.

Bwana mdogo alikuwa analala na anko wake, siku moja aliamka usiku hakumkuta anko, akajua labda yupo sebuleni anacheki tv, kumuangalia sebuleni hakumuona akapata wazo aende kwenye chumba Cha dada wa kazi (beki tatu) maana na yeye alitaka kwenda kuchuja oil/kupunguza protin mwilini Kama alivyozoea, alisukuma mlango wa dada wa Kazi uliokuwa umeegeshwa alishangazwa kumkuta anko akila tunda/akitafuna tunda kwa kukamia.

Ilibidi bwana mdogo arudi geto kulala baada ya nusu saa anko na yeye alirudi, bwana mdogo anasema hakumuongelesha chochote mpaka asubuhi kulivyokucha kila mtu aliendelea na harakati zake.

Sasa hapa nikawa nimewaza kitu, dada wa ndani (beki tatu) Kama ana maradhi ya kuambikiza Kama virus vya ukimwi, gono nk kuna uwezekano mkubwa kusambaza ndani ya nyumba ndugu wote mkapata ugonjwa,

Tupime afya za wadada wa kazi (beki tatu) maana vijana hujifunzia mapenzi kwa hawa wadada na kuna wazee wenye nyumba wengine huwa nao wanapona kwa wadada wa kazi (beki tatu).

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
MASHALITI YA KUMILIKI PESA ZA MAJINI

1. Uwe na umli kuanzia miaka 18 nk

2. Uwe na moyo kutunza sili pindi utakapo kua umemiliki pesa za majini
3. Uwe ni wa kusaidia ndugu zako pamoja na kutoa misaada katika vituo wanavyo lelewa watoto yatima au wazee
4. Uwe unavaa nguo nyeupe kila siku ya alhamisi pamoja na kuchinja mnyama kila mwaka Kisha kula pamoja na ndugu zako au jamaa na marafiki. Usinyanyase ndugu eti kwasababu unamiliki pesa hizi.
5. Pia haichagui jinsia uwe mke au mume wote inawezekana kumiliki pesa za majini.

Nahata Kama unahitaji huduma nyingine Kama kusafisha nyota
Kurudisha Mali iliopotea au kuibiwa
Au kama unasumbuliwa na maladhi pia tunahudumia

Nayotehaya yanawezekana hatakama upo mbali
Inawezekana haijalishi upo mkoa gani huduma inakufikia tu.
Hata Kama upo nje ya nchi.

WASILIYANA NASI KWA NAMBA ZIFUATAZO
+255694244940 Kwa mawasiliano ya kawaida na whatsapp
Wote mnakalibishwa

(ONYO USIPIGE SIM KWAKUJALIBU)
 
MASHALITI YA KUMILIKI PESA ZA MAJINI

1. Uwe na umli kuanzia miaka 18 nk

2. Uwe na moyo kutunza sili pindi utakapo kua umemiliki pesa za majini
3. Uwe ni wa kusaidia ndugu zako pamoja na kutoa misaada katika vituo wanavyo lelewa watoto yatima au wazee
4. Uwe unavaa nguo nyeupe kila siku ya alhamisi pamoja na kuchinja mnyama kila mwaka Kisha kula pamoja na ndugu zako au jamaa na marafiki. Usinyanyase ndugu eti kwasababu unamiliki pesa hizi.
5. Pia haichagui jinsia uwe mke au mume wote inawezekana kumiliki pesa za majini.

Nahata Kama unahitaji huduma nyingine Kama kusafisha nyota
Kurudisha Mali iliopotea au kuibiwa
Au kama unasumbuliwa na maladhi pia tunahudumia

Nayotehaya yanawezekana hatakama upo mbali
Inawezekana haijalishi upo mkoa gani huduma inakufikia tu.
Hata Kama upo nje ya nchi.

WASILIYANA NASI KWA NAMBA ZIFUATAZO
+255694244940 Kwa mawasiliano ya kawaida na whatsapp
Wote mnakalibishwa

(ONYO USIPIGE SIM KWAKUJALIBU)
LIPIA TANGAZO.
 
Nimekutana na bwana mdogo akisikitika sana, nilipo muuliza ni kipi kimekusibu?

Kumbe ilikuwa hivi, bwana mdogo alikuwa anachakata mbususu ya bure bure kutoka kwa dada wa kazi (beki tatu) aliy
Mpimwe akili nyinyi mnaoacha kwenda kutafta magumegume yenzenu yaliyoshindakana kama we na anko wako kwanza ndipo sasa ukampime na dada wa kazi
 
Back
Top Bottom