YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Tatizo ukifa hospital au guest house uliandika jina peter Paul kabila ukashindwa kuweka au ukaandika la uongo. polisi wakitangaza hakuna ndugu atakuja kuchukua maiti yako utazikwa nA cityHata Guest house lazima ujaze kwenye daftali lao wanaboa Sana... Huwa naandika mchagga tu
Mfano umepata ajali wasamaria wakakuokota kujiandikisha unatakiwa uandika majina, Kabila nk kurahisha kutambuliwa na marafiki, ndugu, majirani nk