Ni muhimu sana kwa kutunza takwimu. Kwa mfano uhalifu...
Kabila gani linafanya zaidi uhalifu A na si B
Je uhalifu X unafanywa na watu wa rika lipi..
Je, kwa nini wahalifu wa dini X wenye age Y wanafanya sana uhalifu wa ubakaji, wizi wa kuvunja nk
Hii inasaidia kwa watunga sera za ulinzi na usalama kujua pa kuanzia...hata Police pia kujua wajipange vipi
Ndiyo maana mtoa hoja tuna kanda maalum ya rorya..... Ni hizo takwimu.
Kabila gani linafanya zaidi uhalifu A na si B
Je uhalifu X unafanywa na watu wa rika lipi..
Je, kwa nini wahalifu wa dini X wenye age Y wanafanya sana uhalifu wa ubakaji, wizi wa kuvunja nk
Hii inasaidia kwa watunga sera za ulinzi na usalama kujua pa kuanzia...hata Police pia kujua wajipange vipi
Ndiyo maana mtoa hoja tuna kanda maalum ya rorya..... Ni hizo takwimu.