Kuna ukweli?

Kuna ukweli?

Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
Jeshi linapata wapi mabavu ya kulikatalia bunge
 
Kufikia august, wasiojjulikana watakuwa wamegeukwa na kupotezwa Ili Kurudisha image njema kwa Geshi lletu.
 
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
Nimejulishwa kuwa clip ile ni ya mwaka 2018
 
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
Hapana hii ni kuwabrain wash WATANZANIA ili wadhanie kuwa jeshi linamisimamo yake lenyewe
 
Bunge walikuwa sahihi. JWTZ kama limekomalia huo utaratibu ni makosa makubwa.

Raia wote wanatakiwa kuwa na mafasi sawa ya kwenda jeshini.

Kwa sasa ni rondomly selection zinafanyika kwa hao form six kwenda jeshini.


Wapo vijana wanaoishia form 4 na kupita njia nyingine.

Sio kila mtu anaweza kuwa askari,ila inapaswa kuwe na uwezekano sawa wa kila raia kupata nafasi ya jeshi.

Vinginevyo itakuja kutokea shida, uzalendo hautakuwepo.
🤝🤝🤝👍👍👍
 
Back
Top Bottom