Kuna akili inaniambia ni kafala lilikuwa limeandaliwa na huyu shetani aliombwa idadi kubwa sana ya watu ndo maana alimua kuwafata watu hadi majumbani
Mfano katoro na Geita,watu walikuwa hata hawana huo mzuka mara ghafla pakanuka na pakanuka haswa hasa hasa geita
Katoro watu walikuwa wametulia jamaa mmoja akajipitisha na baiskel ya mitano tena na kuanza kuwazingua watu kwa kuwaoneshea ishara ambazo sio ndo pakanuka
Geita watu wameingia barabaran jioni ya tarehe 29
Kwanza huu ujasiri umetokea wapi!,aiseee uchawi upo ni watu walikuwa wamepandishwa mapepo
Kwenye godown la magodoro waandamanaji wakajipiga moto wao wenyew