Kuna ukweli wowote kwenye hili?

Mimi kama nisikia, nikiambiwa au kudhani kuwa kitu fulani ni bora kuliko chengine, (in this case for example: wanene/wembamba/ dodo kubwa/ndogo, wa mjini/wa shamba/...) NA KAMA NINATAKA kuhakikisha kwa kulinganisha, basi hujaribu mwenyewe. Ninakushauri baada ya kupata maoni mbali mbali, ufanye hivyo ili kuondoa wasiwasi.
 
reserch questions 1. Ganzi inayotumika kwenye tohara ndo inapunguza nguvu za kiume 2. Nyuzi za kushonea mboo zinapunguza nguvu za kiume 3. dawa zinazopakwa kwenye mboo huko porinizinaongeza nguvu


HAPO KWENYE RED - AMA KWELI UNA UJASIRI - KUANDIKA HILO NENO ...........MH au ndio WHERE WE DARE TALK OPENLY???

MIE YATIMA NAONA AIBU.........................:shock:................
A%20S%20embarassed.gif
.............
 
Kwa sababu umeleta habari humu bila scientific evidence?

scientific evidences huanza na maswali ya kujiuliza kama haya ili kujua kama suala hili ni issue kwenye jamii kwa kiasi gani.Then unakuwa uko sahihi kufanya utafiti
 
reserch questions 1. Ganzi inayotumika kwenye tohara ndo inapunguza nguvu za kiume 2. Nyuzi za kushonea mboo zinapunguza nguvu za kiume 3. dawa zinazopakwa kwenye mboo huko porinizinaongeza nguvu

mkuu hata mimi nilikuwa nafikiri hizo ni baadhi ya sababu
 
Fanya 'scientific study' utaweza jibu swali lako ukiwa na evidence. Case-Control Study itakusaidia, cases ni wale waliopungukiwa nguvu za kiume..na control ni wale wenye nguvu za kiume kama kawaida ila uwamatch kwa umri, life style (mlo, mazoezi etc), na confounder nyingine utakazofikiria...kisha look back in time kuona walitahiriwaje (hospitali kwa ganzi vs porini kwa jando), halafu compare hizo group 2. Hapo utapata scientific evidence kuwa ni kweli au la....lakini sio humu JF kwa watu kusema mimi hivi, na mimi vile...hujaweka hata case definition ya 'kupungukiwa nguvu za kiume' maana yake ni nini!

Nakushukuru Dkt kwa kunipanua mawazo
 
Haya mapya sasa. Ngoja niliulize linjemba langu limetahiriwa wapi. Lol.
 
Haya mapya sasa. Ngoja niliulize linjemba langu limetahiriwa wapi. Lol.
wala usihangaike,nshacheki na TF,mwoga yule siku ya jando alipoona kisu tu akachanja mbuga na kudandia lori la mkaa lililokuwa linakuja dar,the rest is history.
 
Back
Top Bottom