crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 846
NAKAZIA
NAKAZIA
Sawa bigMCHAWI WA MAISHA YAKO NI WEWE MWENYEWE
Halafu unawapelekesha hao mabwege kiboya kweli
Yaani mimi dada sikopeshi yaani PAPUCHI tu mpaka niwait until 3 to 6 month dada wahlahi siku nakutokea unaniambia hizo mambo wala sigeuki nyuma nachapa raba nalala mbele tz sio india
wino umekataa.....
Mimi nachouliza tu inamaana jimbo lipo huru? huu mwaka kweli wangu wanasiasa wao wakigombania huko majimbo nami nina langu hapa.
Hao wameshindwa kukushawishi tu mama usihofu mie nitaweza kukushawishi walau tuwe tunaonja mara moja kwa siku. Siunajua kulala kwa hadhira ni uzembe wa fanani?
kwa ile scenario sio bikraKama ni bikra endelea kutunza lakini km ushaonjesha endelea kuonjesha adi umkoleze mmoja atayechukua jimbo mazima
Kuzini ni nini?
Sasa hata yeye hajishangai?? Ushamwambia mwanaume sio bikra ila tusifanye mapenzi, ivi inaingilia akilinikwa ile scenario sio bikra
Hata kama hana bikra atawapa wangapi sasa? Mwisho wa siku ndo mnasema flan malayaHahaha
Umempiga vibaya sana mwenzako
Demu hana bikra halafu gemu hataki kutoa..huu ni ujinga
si ndo apo... af m naona km hutak kufanya mapenzi kaa zako single sio kusumbua wakaka wa watuSasa hata yeye hajishangai?? Ushamwambia mwanaume sio bikra ila tusifanye mapenzi, ivi inaingilia akilini
Wewe ni nani vile maana hii ID ina umri mdogo saana.naona upo ktk harakati za kuruka
Haa haa haaaNdege mjanja hunaswa na tundu bovu. Hutaamini utakayeolewa naye
Wewe ni nani vile maana hii ID ina umri mdogo saana.
Sikuamini kabisa...niaminishe basi nianze kuruka nawe.eeeh mdg saana...mimi ni mimi mkuu
Sikuamini kabisa...niaminishe basi nianze kuruka nawe.