Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,876
- 18,882
Watumiaji wa Jamii forum wamekuwa wakijinadi ni magreat thinkers ila kwa izo mada na comment nnazosoma hapo wengi wanamapungufu ya akili.
Unaandika uzi.wa kuchokonoa ua unacomment ujinga ili ujibiwe na upate reply uo muda si ungepost biashara upate hela kuliko upost dhihaka upate matusi ujione umegusa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Udini wangu uko wapi?Tambua kuwa sisi sote ni ndugu mkuu uduni hauta kufikisha popote.
Lakini ukweli uko hivyo! Madrasa wanafundishwa hivyo na it sticks indefinitely!Aisee nimeshangaa sana eti yule aliyechana Quran kukamatwa kisa eti ameleta uchochezi wa kidini
Kwamba angeamsha hasira za Waislam na wangeweza kuchoma makanisa na kusababisha vurugu kubwa
Yaani hapa wanamaanisha Waislam ni watu wasioweza kupuuza jambo kama hilo, na ni watu wanaoongozwa na mihemko na hasira bila kufikiri, haya ni matusi makubwa sana
Yaani Waislam hawezi kumpuuza chizi mmoja aliyechana kitabu chao? Yaani wangeleta vurugu kwa watu wasiohusika kisa kitendo cha chizi mmoja?
Hii ina tofauti gani na kuhalisha hii dhana potofu kuwa Uislam ni dini ya vurugu na kuwa Waislam wanajilipua kutetea imani yao?
Waislam hawaetereki na kitu kama hiki, so kudhani wangeleta vurugu ni matusi kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hawa waislam wanachoma moto biblia kila siku, Jaffor uislam wake asituingizie serkalin
Nafikiri walimaanisha Mlevi,Kwahiyo vichaa siku hizi wanaruhusiwa kuwa watumishi wa uma?
Hatuwezi kuwa na mtumishi wa umma wa namna ile... Utumishi wa umma ni kioo cha serikali! Hapo ndipo alilosimamia waziri...Alichofanya Waziri sio sahihi,kwa kuwa kuchana Qur'an hakuna uhusiano wowote na kazi ya mhusika.Alichofanya Waziri ni purely hisia binafsi ambazo zimekuwa ignited na uislam wake,kitu ambacho si sahihi.Sio siri kwamba waislam wanapata hasira za kupindukia dini au mtume wao anapokashfiwa kwa njia yeyote ile.Zipo nguvu "hasi" nyuma ya hasira hizo.
Wakristu wanadhihirisha kuwa hawajielewi na kuna kitu wanakitafuta.! WatakipataNabii Tito alivyokamatwa hatukuona mada hizi watu walipongeza jeshi la polisi maana walikuwa wanaomba sana polisi ichukuwe hatua hawakusema wampuuze.
Sijawahi kusikia muislamu kachana biblia ila mara zote tunasikia mkristo kuchana Qur'an ila bado unaambiwa et waislamu wakorofi!!!Wakristu wanadhihirisha kuwa hawajielewi na kuna kitu wanakitafuta.! Watakipata
Yule ni mlevi! Angepuuzwa tuu!
Maana nimemona kama amerukwa na akili hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi kusikia wakristu wamechoma msikiti?Sijawahi kusikia muislamu kachana biblia ila mara zote tunasikia mkristo kuchana Qur'an ila bado unaambiwa et waislamu wakorofi!!!
Wakichana shika jembe ukalime,maana wakileta fujo watajikuta pabaya.Tuvumiliane Tu hapa dunianiSijawahi kusikia muislamu kachana biblia ila mara zote tunasikia mkristo kuchana Qur'an ila bado unaambiwa et waislamu wakorofi!!!