Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,451
- 9,967
Nimetembea mikoa mingi hapa Tanzania bara, kila ninapokuta benki ya Crdb basi lazima askari wa FFU ndio ambao wapo lindo tofauti benki nyingine unakuta askari wa kawaida ndio wapo lindo.
Mwenye kujua aje atujuze kwanini iko hivyo , karibuni wanajamvi.
Mwenye kujua aje atujuze kwanini iko hivyo , karibuni wanajamvi.