Kuna Ufisadi kwenye T. Shirt zilizotumika wakati wa Baraza Kuu la CHADEMA lililofanyika Dodoma

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimepata habari kuwa kuna ufisadi mkubwa umefanyika ndani ya CHADEMA kwa kutumia fedha za ruzuku. Kwamba, T. Shirt moja iliyovaliwa wakati wa Kamati Kuu na Baraza Kuu la CHADEMA lililofanyika Doeoma hivi karibuni imetengenezwa kwa shilingi 120,000 na kwamba kila aliyevaa ametakiwa kulipa nusu ya bei na nusu nyingine kimegharamia chama.

Taarifa hizo zinasema kuwa baadhi ya wajumbe wamegoma kulipa gharama hizo kwa madai kuwa bei ni kubwa mnooooo! Inadaiwa pia kuwa wajumbe wengine waligoma kuzivaa ili wasiwe sehemu ya ufisadi huo.

Kama habari hizi ni za kweli basi kale kaugonjwa kalikokimbia CCM kametaga mayai CHADEMA
 
Mkuu kiukweli unasikitisha saana, siujui umri wako ila kama ni kijana mwenzangu unatutia aibu, Baadala ya kuja na hoja za msingi zitakazo saidia taifa likasonga mbele kwa kukosoa au kushauri wanaoongoza dola, wewe unahangaika na CDM kutwa kucha....

CDM hawana dola mkuu, tupambane na washika dola walioifikisha nchi hapa ilipo, na kwa kukumbusha Tanzania ni moja ya nchi masikini kabisa duniani ikiwa inamiliki resources za kutosha na Mungu ameijaria haipati majanga makubwa ya mara kwa mara..

JIULIZE NA POTEZA MDA KUISADIA TANZANIA IONDOKE KUTOKA KUNDI LA NCHI MASIKINI..
 
Ayoni mambo ya kawaida sana apa Chadema. Ilo in dili la Mwenyekiti.Na majina ya wote watakao kaidi atafikishiwa Mwenyekiti ili achukue atua zaidi kwa wale waliokaidi kulipa.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimepata habari kuwa kuna ufisadi mkubwa umefanyika ndani ya CHADEMA kwa kutumia fedha za ruzuku. Kwamba, T. Shirt moja iliyovaliwa wakati wa Kamati Kuu na Baraza Kuu la CHADEMA lililofanyika Doeoma hivi karibuni imetengenezwa kwa shilingi 120,000 na kwamba kila aliyevaa ametakiwa kulipa nusu ya bei na nusu nyingine kimegharamia chama.

Taarifa hizo zinasema kuwa baadhi ya wajumbe wamegoma kulipa gharama hizo kwa madai kuwa bei ni kubwa mnooooo! Inadaiwa pia kuwa wajumbe wengine waligoma kuzivaa ili wasiwe sehemu ya ufisadi huo.

Kama habari hizi ni za kweli basi kale kaugonjwa kalikokimbia CCM kametaga mayai CHADEMA
T shirt niliyoivaa hapa nilipo sasa hivi ni usd 70 hivyo kwa bei ya Tsh 120k ya cdm me nanunua ila za maccm hata ziwe na ubora gani, bullet proof, soil proof, water proof na sijui nini bure sichukui...
Ni aibu na fedheha kuvaa mamkitu yenye nembo ya maccm!
 
Mkuu kiukweli unasikitisha saana, siujui umri wako ila kama ni kijana mwenzangu unatutia aibu, Baadala ya kuja na hoja za msingi zitakazo saidia taifa likasonga mbele kwa kukosoa au kushauri wanaoongoza dola, wewe unahangaika na CDM kutwa kucha.... CDM hawana dola mkuu, tupambane na washika dola walioifikisha nchi hapa ilipo, na kwa kukumbusha Tanzania ni moja ya nchi masikini kabisa duniani ikiwa inamiliki resources za kutosha na Mungu ameijaria haipati majanga makubwa ya mara kwa mara..

JIULIZE NA POTEZA MDA KUISADIA TANZANIA IONDOKE KUTOKA KUNDI LA NCHI MASIKINI..
Mwambie na Lissu aache kuwa wakili wa makaburu Taifa litasonga mbele.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimepata habari kuwa kuna ufisadi mkubwa umefanyika ndani ya CHADEMA kwa kutumia fedha za ruzuku. Kwamba, T. Shirt moja iliyovaliwa wakati wa Kamati Kuu na Baraza Kuu la CHADEMA lililofanyika Doeoma hivi karibuni imetengenezwa kwa shilingi 120,000 na kwamba kila aliyevaa ametakiwa kulipa nusu ya bei na nusu nyingine kimegharamia chama.

Taarifa hizo zinasema kuwa baadhi ya wajumbe wamegoma kulipa gharama hizo kwa madai kuwa bei ni kubwa mnooooo! Inadaiwa pia kuwa wajumbe wengine waligoma kuzivaa ili wasiwe sehemu ya ufisadi huo.

Kama habari hizi ni za kweli basi kale kaugonjwa kalikokimbia CCM kametaga mayai CHADEMA
Hata ukihamisha goli utafungwa tu. Habari ya mjini ni mchanga wa dhahabu. Pigeni sound tu lakini kibwagizo ni mchanga wa dhahabu tu.
 
Mwambie na Lissu aache kuwa wakili wa makaburu Taifa litasonga mbele.

Bado ni akili zile zile tu, ebu niambie ni lini LISSU alisimamia hao makaburu mahakamani?? ninachofahamu LISSU alishawahi kuwasimamia wananchi mahamani wa Nyamongo dhidi ya makaburu walioungwa mkono na serikali ya CCM, LISSU huyo huyo tena alishawahi kutetea wananchi wa Bulyanhulu waliofukiwa ndugu zao na kunyang'anywa maeneo yao na Makuburu waliosaidiwa na serikali na CCM, hayo yote LISSU aliyafanya pasipo kulipwa hata senti moja..

Serikali ya CCM imeangia mikataba na Makaburu tulipwe mrahaba wa 4% wakiwa wamejifungia chumbani, serikali ya CCM imesign mkataba wa mafuta na gas kwa hati ya dharula kimyakimya na kuufanya siri... Serikali ya CCM iliruhusu makaburu wasafirishe mchanga wa dhahabu kwa kusign nao mikataba ya kilaghai na hata watanzania walipolalamika kabla ya kusign hiyo mikataba waliitwa wasaliti na wengine kupigwa ban bungeni refer ZZK na buzwagi...

Eti leo unajiita Mzalendo, kijana kuwa na uchungu na taifa lako, UNAFIKI HAUWEZI KUJENGA HILI TAIFA..
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimepata habari kuwa kuna ufisadi mkubwa umefanyika ndani ya CHADEMA kwa kutumia fedha za ruzuku. Kwamba, T. Shirt moja iliyovaliwa wakati wa Kamati Kuu na Baraza Kuu la CHADEMA lililofanyika Doeoma hivi karibuni imetengenezwa kwa shilingi 120,000 na kwamba kila aliyevaa ametakiwa kulipa nusu ya bei na nusu nyingine kimegharamia chama.

Taarifa hizo zinasema kuwa baadhi ya wajumbe wamegoma kulipa gharama hizo kwa madai kuwa bei ni kubwa mnooooo! Inadaiwa pia kuwa wajumbe wengine waligoma kuzivaa ili wasiwe sehemu ya ufisadi huo.

Kama habari hizi ni za kweli basi kale kaugonjwa kalikokimbia CCM kametaga mayai CHADEMA
kumbe ndio maana edo havaagi jezi na magwanda ya cdm kwa kua ni miradi ya kifisadi. ukiumwa na nyoka kweli hata unyasi unatishika.
 
Back
Top Bottom