Ungetoa maoni yako tu kwa jinsi unavyoyaona mambo yanavyokwenda bila hata kuiingiza CHADEMA katika mambo ya maCCM...
Kuihusisha CHADEMA na Rais Samia Suluhu Hassani, inaonesha wazi kuwa huijui katiba ya JMT. Unalowaza haliwezekani kikatiba...
Kama Rais Samia S. Hassan hakubaliani na mambo yalivyo huko CCM na anataka aendelee kuwa Rais Wa nchi hii na kutekeleza ajenda zake bila usumbufu, basi ana options zifuatazo pekee;
1. Kuvunja bunge na twende ktk uchaguzi mwingine, au;
2. Afanye a total & a complete OVER HAULING ya cabinet na serikali yote kwa ujumla bila kuvunja bunge, na au;
3. Ahakikishe anavunja nguvu za makundi pingamizi yote dhidi ya mipango yake. Na eneo hatari kwake ni BUNGE...
Hakuna shaka yoyote kuwa Spika Job Ndugai ndiye opposition force kubwa dhidi ya ajenda za Rais Samia S. Hassani...
Akiachwa hivi hivi bila kitu kufanyika, technically, anaweza kulitumia bunge vilivyo kukwamisha na kuvuruga ajenda za Rais Samia..!!
Atakapogundua kuwa anahujumiwa na Bunge kisha akaamua kuchukua hatua (labda kwa kulivunja hili bunge), itakuwa a little bit too late kwa political damage itakayokuwa imetokea...!!
All in all, Mimi nadhani, upo mpango wa Mungu wa kufanya "a complete political power shifting" ya utawala wa nchi hii kutoka CCM kwenda chama kingine cha siasa...
Moja ya ishara kubwa ni kifo cha huyu Bwana John Pombe. Hakikuja katika namna ya kawaida. Kimekuja amidst malalamiko makubwa ya wananchi kunyanyaswa na kunyimwa haki zao...
Then, ndani ya wiki mbili au tatu hivi mtu anapotea na kisha anarudi akiwa mfu ndani ya jeneza. Ilikuwa ni maajabu sana sana sana..!!!
Kisha, all of the sudden, nchi inachukuliwa na kutawaliwa na mwanamke..!!
I believe tuko kwenye "transition period". Na mama Samia S. Hassan asipokuwa makini, hata yeye ANAWEZA ASIFIKE 2025...
Scramble & struggle for political powers haijawahi kuacha nchi na baadhi ya watu salama hata wale tunaodhani wanaweza kuwa salama zaidi kuliko sisi..!!
Let the political change takes its course no matter how...
Na mama Samia Suluhu Hassan has been assigned these responsibilities by the Almighty God to facilitate these changes whether akiwa anajua ama hata pale atakapokuwa hajui...!!
That's how God, The Almighty does his things to save his people...