Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,795
Mnashangaza Mbowe, Mnyika, Lissu ua Mwalimu hawana maana tena. Wewe unaonekana mzoefu wa kutamani waume wa wenzio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye siasa kila kitu kinawezekana. Wewe ulidhania ingefika siku nchi nzima ikatwaliwa na ccm?Kweli we nchi kavu. Ukaota. Ukaamka. Ukaota kabla ya kuamka ukaandika. Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kumuuunga mkono Rais wa chama tawala. Labda moyoni Lakini sio hadharani. Hiyo itamaanisha kuwa wamejitoa upinzani. Ndo mana wewe mkuu endelea kuota.
Inaonyesha mleta mada ni kama vile hajui ukweli (FACT) kwamba hapa Tanzania hakuna uRais nje ya CCM. Ni vyema umkumbushe na kumsisititizia hiyo FACT.Chadema na urais wapi na wapi?
Kuanzia leo hadi mwisho wa mwezi huu ndio tutawajua.
Hata Yusufu aliota na akadhihakiwa, sembuse mimi?
Endelea kutapika mkuu. Yaelekea bado tumbo lako lina uchafu wa kutosha. Tutadeki usiwe na shakaKelele zote kumbe mbaka saizi hujui unacho ngojea.
Kaa endelea kungoja pekeako wenye akili wanajua ccm wanafanyaga nini.
Sio wewetu nawenzako pia wana ndoto matope kama izo.
Mngekuwa mnaota kuhusu ruzuku na michango yenu inavyoliwa na DJ ningekuona unandoto.
Ufipa Ofisi kama banda la bata na pesa kwa mabilioni mnalipwa zinaenda kwenye Mbege milimani nyie mnakazana kuota mipango ya Ccm, nyumbu ni nyumbutu.
Dawa imekuingia.Endelea kutapika mkuu. Yaelekea bado tumbo lako lina uchafu wa kutosha. Tutadeki usiwe na shaka
This time ikitokea tena watu wakaanza kufanya upumbavu wa namna hii, kwa hakika watakuwa wanalipigia Jeshi, na si kwamba watakuwa wanalibip, hapana. Watakuwa wanalipigia Jeshi na safari hii litaipokea simu hiyo. Tuache kuendelea kufanya ujinga kwenye mambo ya msingi yanayohusu nchiNa ugumu zaidi ataupata kwenye chama chake CCM ambapo wanadai kuwa mwanamama hataweza kuhimili mikiki mikiki ya siasa za bongo kama Rais, na zaidi kama mwenyekiti wa chama.
Kwa awamu hii ya mama anything is possible maana kuna watu watataka kujaribu misuli yao kisa ni mwanamamaThis time ikitokea tena watu wakaanza kufanya upumbavu wa namna hii, kwa hakika watakuwa wanalipigia Jeshi, na si kwamba watakuwa wanalibip, hapana. Watakuwa wanalipigia Jeshi na safari hii litaipokea simu hiyo. Tuache kuendelea kufanya ujinga kwenye mambo ya msingi yanayohusu nchi
Mama tayari alishaonya kuhusu pilika pilika za 2025 kwamba watu waache; wenye akili timamu na wenye kusikia nadhani watakuwa walimsikia na kumwelewaKwa awamu hii ya mama anything is possible maana kuna watu watataka kujaribu misuli yao kisa ni mwanamama
Hili la kuhamia upinzani linaweza kufanyika pale ambapo muda wake wa miaka minne umekwisha