jk vs salma kikwete.
fafanuwa miaka mingapi wamepishana........................?
jk vs salma kikwete.
Hakuna ubaya wowote.
source:
Mandela Vs Graca
Malecela Vs Anne Kilango
Dr. Slaa Vs Josephine Mushumbusi
[/QUOTE]Unategemea wewe Ina umri gani kwanza, but if she is under 25 and you are 35 kunaweza kusiwe na shida, ila Jiandae kumlea na uwe muungwAna, tena Kama umepiga vidato na yeye bado, Jiandae tu kuwa tayari kuwa na misimamo tofauti na namna mnayojudge mambo, kwa mtaAmo wangu, 5 years difference Is max
QUOTE=MARCKO;3720299]Wataalamu naombeni mnijuze! Eti nikiwa(mimi ni mwanaume) napishana na mpenzi wangu miaka kumi ni mbaya?
Hakuna ubaya wowote.
source:
Mandela Vs Graca
Malecela Vs Anne Kilango
Dr. Slaa Vs Josephine Mushumbusi
Tena ndo raha kweli.
Unategemea wewe Ina umri gani kwanza, but if she is under 25 and you are 35 kunaweza kusiwe na shida, ila Jiandae kumlea na uwe muungwAna, tena Kama umepiga vidato na yeye bado, Jiandae tu kuwa tayari kuwa na misimamo tofauti na namna mnayojudge mambo, kwa mtaAmo wangu, 5 years difference Is max
Experience ya wengi imeonyesha kuwa tofauti ya miaka 10 mpaka 15 hapa mwanzoni huwa hakuna shida. Lakini baadae kama miaka 15 na kuendelea, yule aliye mdogo anaanza kumchoka au kumwona mwenzake ni mzee sana kwake. Wengine wenye bahati miaka inakuwa just numbers hazisumbui.
wifi yenu kanizidi miaka 11 , she is still cute, nakula mzigo kama kawa , tunaishi freshi ,
Unategemea wewe Ina umri gani kwanza, but if she is under 25 and you are 35 kunaweza kusiwe na shida, ila Jiandae kumlea na uwe muungwAna, tena Kama umepiga vidato na yeye bado, Jiandae tu kuwa tayari kuwa na misimamo tofauti na namna mnayojudge mambo, kwa mtaAmo wangu, 5 years difference Is max
Experience ya wengi imeonyesha kuwa tofauti ya miaka 10 mpaka 15 hapa mwanzoni huwa hakuna shida. Lakini baadae kama miaka 15 na kuendelea, yule aliye mdogo anaanza kumchoka au kumwona mwenzake ni mzee sana kwake. Wengine wenye bahati miaka inakuwa just numbers hazisumbui.
Age are'nt nothing but number..la msingi hapo kaka nakushauri angalia tabia na mapenzi ya dhati wanawake wa siku hizi ni hatari usipokua makini utarudi jamvini apa kuomba ushauri tena.