Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
1. Wote wawili ni manguli wa sheria.
2. Wote wawili ni wanaharakati nguli waliojikita kuzichafua nchi zao kimataifa huko ughaibuni.
3. Wote wawili wamedhamiria kuwa marais wa hizo nchi zao.
4. Wote wawili wana passport za kusafiria za nchi za ughaibuni. Miguna ni ya Canada na Lissu ni ya Ubelgiji.
5. Ili kupata passport hizo za ughaibuni lazima upate uraia wa nchi hizo. Kwa sheria za nchi yetu ukifanya hivyo unapoteza uraia wa Tanzania. Kwa sheria za Kenya unaendelea kuwa raia wa Kenya (dual citzenship).
6. Kwa tabia zao hizo (unpatriotic and unruly behavior) Miguna Miguna haruhusiwi kukanyaga nchi ya Kenya na warning alerts zilishatolewa na serikali ya Kenya kwa nchi zote za Afika zilizo kwenye AU kutomruhusu Miguna Miguna kuingia nchi zao.
Desemba 2019 Tundu Lissu alijaribu kuja Tanzania kuhudhuria mkutano mkuu wa Chadema, akakwamia Nairobi.
Je, kuna uwezekano kuwa Tundu Lissu naye anayapata yale anayoyapata mwenzake Miguna Miguna? Na kama ni hivyo ataifanyaje kazi yake ya umakamu mwenyekiti wa chadema aliyopewa hivi karibuni na chama hicho?
2. Wote wawili ni wanaharakati nguli waliojikita kuzichafua nchi zao kimataifa huko ughaibuni.
3. Wote wawili wamedhamiria kuwa marais wa hizo nchi zao.
4. Wote wawili wana passport za kusafiria za nchi za ughaibuni. Miguna ni ya Canada na Lissu ni ya Ubelgiji.
5. Ili kupata passport hizo za ughaibuni lazima upate uraia wa nchi hizo. Kwa sheria za nchi yetu ukifanya hivyo unapoteza uraia wa Tanzania. Kwa sheria za Kenya unaendelea kuwa raia wa Kenya (dual citzenship).
6. Kwa tabia zao hizo (unpatriotic and unruly behavior) Miguna Miguna haruhusiwi kukanyaga nchi ya Kenya na warning alerts zilishatolewa na serikali ya Kenya kwa nchi zote za Afika zilizo kwenye AU kutomruhusu Miguna Miguna kuingia nchi zao.
Desemba 2019 Tundu Lissu alijaribu kuja Tanzania kuhudhuria mkutano mkuu wa Chadema, akakwamia Nairobi.
Je, kuna uwezekano kuwa Tundu Lissu naye anayapata yale anayoyapata mwenzake Miguna Miguna? Na kama ni hivyo ataifanyaje kazi yake ya umakamu mwenyekiti wa chadema aliyopewa hivi karibuni na chama hicho?