Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,990
- 13,645
Mkuu ina maana simu yako haina 3g/4G auto.Simu infinix ina line ya tigo. Ikiwa kwenye 4G au 3G ukiipigia haipatikani. Hata kama umezima data. Ila ikiwa kwenye 2G simu ukiipigia inapatikana hata kama umezima data. Sasa nimeshindwa kuelewa hii kitu inakuwaje.
Naomba ufafanuzi kwenye hili.
Cc. reyzzap na Chief-Mkwawa
Mkuu,kwenye page ya pili katika comment yako umesahau kufuta IMEI..Mkuu ina maana simu yako haina 3g/4G auto.
1. Simu ya kawaida Inatumia 2g kwa ajili ya kupiga
2. 3g sauti yake inaitwa HD voice lakini ili uipate kwa Tanzania inabidi muwe munatumia mtandao mmoja na wote muwe na simu za kisasa
3. 4g sauti yake inaitwa Volte na mitandao yetu mainstream hawana nafkiri smile walikua nayo.
Hivyo my guess simu yake inakaa 4g only ama 3g only mtu akikupigia inashindwa ku change kwenda 2g kupokea simu.
Possible solution
Bonyeza ##4636## Kisha ingia phone information Kuna box la network type utaona kuna option nyingi sana, Jaribu kuweka option ya
LTE/UMTS (auto PRL) kama picha inavyoonesha.
View attachment 1843595
View attachment 1843591
By mistake ila nimeshaifuta, shukranMkuu,kwenye page ya pili katika comment yako umesahau kufuta IMEI..
Mkuu ahsante kwa ufafanuzi. Nimejaribu imekataa. Inaandika connection problem or invalid MMI code.Mkuu ina maana simu yako haina 3g/4G auto.
1. Simu ya kawaida Inatumia 2g kwa ajili ya kupiga
2. 3g sauti yake inaitwa HD voice lakini ili uipate kwa Tanzania inabidi muwe munatumia mtandao mmoja na wote muwe na simu za kisasa
3. 4g sauti yake inaitwa Volte na mitandao yetu mainstream hawana nafkiri smile walikua nayo.
Hivyo my guess simu yake inakaa 4g only ama 3g only mtu akikupigia inashindwa ku change kwenda 2g kupokea simu.
Possible solution
Bonyeza ##4636## Kisha ingia phone information Kuna box la network type utaona kuna option nyingi sana, Jaribu kuweka option ya
LTE/UMTS (auto PRL) kama picha inavyoonesha.
View attachment 1843595
Naset vp mkuu. Ufafanuzi wa chief pale juu umeshindikana.mkuu, iset simu yako katika 2G, 3G and 4G auto detect! Vingnevyo utaendelea kutokupatikana kama simu yako unailazimisha kukaa kwenye 4G only!
Ina maana wameiblock hio code.Mkuu ahsante kwa ufafanuzi. Nimejaribu imekataa. Inaandika connection problem or invalid MMI code.
Ushachelewa kumpa taarifaMkuu,kwenye page ya pili katika comment yako umesahau kufuta IMEI..
Hiyo opt haipoIna maana wameiblock hio code.
Ume Jaribu kwenda kawaida setting Kisha setting za network/connection Kisha kwenye mobile network ama cellular then network mode hakuna option ya lte/wcdma/GSM auto?
Ngoja wenye simu za mediatek waje watusaidie ila somewhere kwenye engineering mode pengine hio menu ipo.Hiyo opt haipo