hapa ni shule tu. wahi shuleni usipoteze muda humu JF maana utapotoshwa na kuishia huko ulikopotoshewa. Unatakiwa kupata dozi ya dhana/nadharia, masuala mahsusi, mifano halisi, na elimu kwa vitendo katika masomo ya public finance, corporate finance, taxation (theory/practice/law), na pengine DS. Kupata maarifa hakuhitaji short cut, vinginevyo utaishia kuwa kama akina Lugumi & Co.[/QUOTE
Kwa hiyo kila kitu unaachotaka kujua hapa duniani lazima ukasome? Umeme ukasome? Madawa ukasome? Magari ukasome? Kilimoukasome? Kufua ukasome? Kutumia simu nako ukasome baada ya hapo hakuna wa kumuuliza mwenzie.