remy_official
Member
- Apr 13, 2017
- 27
- 14
Habari za mihangaiko wanajamii forum,
Naomba anaye elewa vizuri vyuo hivi viwili ( university of computing centre & collage of information and technology engineering).
Kati ya vyuo hivyo viwili vya university of Dar es salaam upande wa ICT ningependa kujua ni kipi kina ubora kutokana na course zinazotolewa hapo kwa ngazi ya certificate
Maana kijana wangu anataka kusoma IT ila sijajua vzur kati ya IT na computer science kipi ni bora na kitamsaidia yeye kujiajili mwenyewe.
Naomba anaye elewa vizuri vyuo hivi viwili ( university of computing centre & collage of information and technology engineering).
Kati ya vyuo hivyo viwili vya university of Dar es salaam upande wa ICT ningependa kujua ni kipi kina ubora kutokana na course zinazotolewa hapo kwa ngazi ya certificate
Maana kijana wangu anataka kusoma IT ila sijajua vzur kati ya IT na computer science kipi ni bora na kitamsaidia yeye kujiajili mwenyewe.