Kuna tofauti gani kati ya Home Theatre na Sub-woofer?

Wakuu habarini na poleni na majukumu ya kila leo

Rejelea kichwa tajwa hapo juu naleta kwenu ili nijiweke sawa kati ya vifaa hvyo hasa kwenye matumizi.

Kwa upande wangu nahitaji sana kuvitumia ili kubadilisha madhari na kuboresha usikivu wa music kisasa zaidi. Moja ya ya changamoto ktk hili uimara wa kuweza kuhimili haya maisha yetu ya kibongobongo.

Ipi brand nzuri inayoweza kuhimili umeme wetu huu, naimani umeme mnaujua vema.

Nawasilisha

Asanteni

MKuu ngoja nijitahidi kukuelezea hizi vitu at the easiest way possible.

Sub-woofer: Ni speaker inayopiga sauti ya Bass peke yake. Toka zamani sub-woofer zilikuwepo ila tu zilikuwa zinachanganywa na spika nyingi kwenye Box moja. Kwa kadri teknolojia ya sauti ilivyozidi kukua, ikagundulika kwamba pia kuna uwezo wa kuitenga(kuiweka pekeyake) spika ya bass ilikuweza kupata mkito bora zaidi.

Home Theater: Ni system tegemezi ya kuendesha pia kutawanya sauti kutoka kwenye chombo kingine. Home theater pia ili iweze kuitwa hivyo lazima iwe na mkusanyiko wa sipika za aina mbali mbali kama Sub-woofer, spika za kati, na spika za tweeter.
Kwahiyo: Subwoofer ni sipika itowayo sauti ya Bass tuu na yenyewe kama yenyewe haichezi kitu mpaka iunganishwe na kitu kingine... Sijui Umeelewa?

Kuhusu uimara: Kwa kweli ni matumizi yako, Kwa umeme, ziku zote uwe na protection kwa vyombo vyako. Lakini pia katika hivi vyombo kuna swala zima la matumizi ya nyumbani na matumizi ya biashara... Sasa ukinunua chombo cha matumizi ya nyumbani ukakitumia kwenye matumizi ya biashara, hakitakaa sana kitaharibika tuu. Ndiyo maana kuna Kuna vyombo vya kupigia mziki wa biashaya na mziki wa majumbani.

Natumaini sijakukwaza na maneno yangu mengi kama mganga wa kienyeji..!!!
 
MKuu ngoja nijitahidi kukuelezea hizi vitu at the easiest way possible.

Sub-woofer: Ni speaker inayopiga sauti ya Bass peke yake. Toka zamani sub-woofer zilikuwepo ila tu zilikuwa zinachanganywa na spika nyingi kwenye Box moja. Kwa kadri teknolojia ya sauti ilivyozidi kukua, ikagundulika kwamba pia kuna uwezo wa kuitenga(kuiweka pekeyake) spika ya bass ilikuweza kupata mkito bora zaidi.

Home Theater: Ni system tegemezi ya kuendesha pia kutawanya sauti kutoka kwenye chombo kingine. Home theater pia ili iweze kuitwa hivyo lazima iwe na mkusanyiko wa sipika za aina mbali mbali kama Sub-woofer, spika za kati, na spika za tweeter.
Kwahiyo: Subwoofer ni sipika itowayo sauti ya Bass tuu na yenyewe kama yenyewe haichezi kitu mpaka iunganishwe na kitu kingine. Sijui Umeelewa?

Kuhusu uimara: Kwa kweli ni matumizi yako, Kwa umeme, ziku zote uwe na protection kwa vyombo vyako. Lakini pia katika hivi vyombo kuna swala zima la matumizi ya nyumbani na matumizi ya biashara... Sasa ukinunua chombo cha matumizi ya nyumbani ukakitumia kwenye matumizi ya biashara, hakitakaa sana kitaharibika tuu. Ndiyo maana kuna Kuna vyombo vya kupigia mziki wa biashaya na mziki wa majumbani.

Natumaini sijakukwaza na maneno yangu mengi kama mganga wa kienyeji!
Upo sahihi but ur beyond his knowladge

Ungemjibu tu kwa simple meaning anvyo sema subwoofer anamaanisha hizi music system za kichina za 2.1 channel

Na home thieter system ya 5.1 channel
 
MKuu ngoja nijitahidi kukuelezea hizi vitu at the easiest way possible.

Sub-woofer: Ni speaker inayopiga sauti ya Bass peke yake. Toka zamani sub-woofer zilikuwepo ila tu zilikuwa zinachanganywa na spika nyingi kwenye Box moja. Kwa kadri teknolojia ya sauti ilivyozidi kukua, ikagundulika kwamba pia kuna uwezo wa kuitenga(kuiweka pekeyake) spika ya bass ilikuweza kupata mkito bora zaidi.

Home Theater: Ni system tegemezi ya kuendesha pia kutawanya sauti kutoka kwenye chombo kingine. Home theater pia ili iweze kuitwa hivyo lazima iwe na mkusanyiko wa sipika za aina mbali mbali kama Sub-woofer, spika za kati, na spika za tweeter.

Kwahiyo: Subwoofer ni sipika itowayo sauti ya Bass tuu na yenyewe kama yenyewe haichezi kitu mpaka iunganishwe na kitu kingine... Sijui Umeelewa??

Kuhusu uimara: Kwa kweli ni matumizi yako, Kwa umeme, ziku zote uwe na protection kwa vyombo vyako. Lakini pia katika hivi vyombo kuna swala zima la matumizi ya nyumbani na matumizi ya biashara... Sasa ukinunua chombo cha matumizi ya nyumbani ukakitumia kwenye matumizi ya biashara, hakitakaa sana kitaharibika tuu. Ndiyo maana kuna Kuna vyombo vya kupigia mziki wa biashaya na mziki wa majumbani.

Natumaini sijakukwaza na maneno yangu mengi kama mganga wa kienyeji!
Aisee umeniweka sawa sana mkuu, napata mwanga sasa mjumuishomzima ktk muziki.
 
For simplest meaning
Haya ma wofer ya kichina ni 2.1 channel music components.
Yaani ni kama system za music za stereo ambazo kuna two tracks of sound zinazo play simultaneous. Ina depend na paning na delay.

Home theater

Hii ni advanced music component au system ambayo ina 5.1 channel. Yaani kuna track 5 za sound ambazo zina play kwa wakat mmoja.
Ndio maana home thieter ina spika 5 za midi.

Zile spika zinafungwa katika mtindo wa soround ili kutoa mziki ambapo music instruments kila moja inaweza kuwa paned kwenye spika yake


Spika 5 zina mpangilio wake unapokuwa umeziweka chumbani. Na ukifanikiwa kuzipanga vizuri ndio utajua music ni nini na nini maana ya 5.1 channel music.

Speaker 3 za midi hukaa mbele ya chuma au sebule moja kushoto moja kulia na nyingine katikati.
Yaani front left front right na front centre.

Kisha nyuma ya chumba au sebule zinakaa spika mbili moja kushoto na nyingine kulia. Yaani back left na back right.
Kisha kile kinu chake yaani subwoofer yake inakaa mbele katikati pamoja na spika ya front centre.

Kisha sasa tafuta mziki ambao ni 5.1 channel. Unaweza udownload mtandaoni. Hasa ni kwa nyimbo za ulaya na marekani ndio baadhi zina mfumo huu. Baada ya hapo play uo wimbo.

Kama wewe ni mpenzi wa music utasikia mambo ya ajabu ambayo hujawahi kusikia. Maana mziki unapigwa standard pia utasikia effects zikilia katika baadhi tu ya spika. Au unaweza sikia kinanda kinalia spika ya kushoto na guitar linalia kulia, drum za tumba zinalia spika za nyuma basi ni utamu mtupuuuu

Ili upate uhalisia wa music huu inabidi ukae katikati ya chumba au sebule.

Kuna makampuni mengi yanayo tengeneza home thieter. Kuna Sony Samsung na Lg. Hizi ndio popular brands za HT hapa tanzania pia unaweza kuzikuta brand nyingine mitumbani hata madukani.

Music huu usipojua kuufunga hautakuwa na quality yoyote. Itakuwa ni kama subwofer la kichina la sea piano.

Pia kuna advantage ya kutumia hii system maana ina DVD player, USB, Radio, HDMI na amenities nyingine itategemea na technology. So ukinunua hii huna haja ya kununua deki sijuu na niniiiiii

Pia kwa wale wenzangu wa kupenda Muvies hii kitu ni tamu sanaaaaa
Hasa ukiwa na Tv. Ya kama 50 inches af ukae distance fulani af pembeni una coke bariiiiiiiiiidiii huku unachek muvie ya 4k resoulution
Hakika ni maisha matamu sana

Pia kama wewe ni gemer
Hii kitu si kuiacha hasa kwa wenye PS 3 na 4 pia na wale wa Xbox pia
Utapata kusikia efects tamu sana za game

Over
0763554400
 
Wewe punguani huelewi unachokiongea, wacha kujidanganya na kudanganya wenzako.

Nyie ndiyo mnajidai mnaelewa vitu kwa kuvisikia tu kumbe hamna lolote mlijualo.

Usione watu wanaingia tu JF ukadhani wote ni kama wewe, wengine tunauelewa wa hivyo vitu kwa kuvisomea si kuvisikia tu.

Punguani wahed.
Nakuheshimu maadam.acha malumbano.wewe ni brand hapa jf.yaishe tuu.
 
OK kumbe wameminimize ukubwa wa vifaa ktk hvi vitu. Sub woofer iko cheaper kulinganisha h/theater, japo kwenye sound naona kama wako sawa
Sub woofer haina music wa quality kama wa home theater.
Ila kibongo bongo poa tu maana hata bei ya sub iko chini kulinganisha na home theater.
 
For simplest meaning
Haya ma wofer ya kichina ni 2.1 channel music components.
Yaani ni kama system za music za stereo ambazo kuna two tracks of sound zinazo play simultaneous. Ina depend na paning na delay.

Home thieter

Hii ni advanced music component au system ambayo ina 5.1 channel. Yaani kuna track 5 za sound ambazo zina play kwa wakat mmoja.
Ndio maana home thieter ina spika 5 za midi.
Zile spika zinafungwa katika mtindo wa soround ili kutoa mziki ambapo music instruments kila moja inaweza kuwa paned kwenye spika yake


Spika 5 zina mpangilio wake unapokuwa umeziweka chumbani. Na ukifanikiwa kuzipanga vizuri ndio utajua music ni nini na nini maana ya 5.1 channel music.

Speaker 3 za midi hukaa mbele ya chuma au sebule moja kushoto moja kulia na nyingine katikati.
Yaani front left front right na front centre.

Kisha nyuma ya chumba au sebule zinakaa spika mbili moja kushoto na nyingine kulia. Yaani back left na back right.
Kisha kile kinu chake yaani subwoofer yake inakaa mbele katikati pamoja na spika ya front centre.

Kisha sasa tafuta mziki ambao ni 5.1 channel. Unaweza udownload mtandaoni. Hasa ni kwa nyimbo za ulaya na marekani ndio baadhi zina mfumo huu. Baada ya hapo play uo wimbo.

Kama wewe ni mpenzi wa music utasikia mambo ya ajabu ambayo hujawahi kusikia. Maana mziki unapigwa standard pia utasikia effects zikilia katika baadhi tu ya spika. Au unaweza sikia kinanda kinalia spika ya kushoto na guitar linalia kulia, drum za tumba zinalia spika za nyuma basi ni utamu mtupuuuu

Ili upate uhalisia wa music huu inabidi ukae katikati ya chumba au sebule.

Kuna makampuni mengi yanayo tengeneza home thieter. Kuna Sony Samsung na Lg. Hizi ndio popular brands za HT hapa tanzania pia unaweza kuzikuta brand nyingine mitumbani hata madukani.

Music huu usipojua kuufunga hautakuwa na quality yoyote. Itakuwa ni kama subwofer la kichina la sea piano.

Pia kuna advantage ya kutumia hii system maana ina DVD player, USB, Radio, HDMI na amenities nyingine itategemea na technology. So ukinunua hii huna haja ya kununua deki sijuu na niniiiiii

Pia kwa wale wenzangu wa kupenda Muvies hii kitu ni tamu sanaaaaa
Hasa ukiwa na Tv. Ya kama 50 inches af ukae distance fulani af pembeni una coke bariiiiiiiiiidiii huku unachek muvie ya 4k resoulution
Hakika ni maisha matamu sana

Pia kama wewe ni gemer
Hii kitu si kuiacha hasa kwa wenye PS 3 na 4 pia na wale wa Xbox pia
Utapata kusikia efects tamu sana za game

Over
0763554400
Safi sana japo utarajie mawazo hasi kutoka kwenye hii nyumba, ngoja tuwasikie wakija.
 
Namimi naombeni nulize jamani...hivi naweza nikanunua deck ya home theatre pekeake bila ya speaker?
maana HT yangu nataka nibadilishe deck tu ila speaker zibaki kuwa zilezile.
 
MKuu ngoja nijitahidi kukuelezea hizi vitu at the easiest way possible.
Sub-woofer: Ni speaker inayopiga sauti ya Bass peke yake. Toka zamani sub-woofer zilikuwepo ila tu zilikuwa zinachanganywa na spika nyingi kwenye Box moja. Kwa kadri teknolojia ya sauti ilivyozidi kukua, ikagundulika kwamba pia kuna uwezo wa kuitenga(kuiweka pekeyake) spika ya bass ilikuweza kupata mkito bora zaidi.
Home Theater: Ni system tegemezi ya kuendesha pia kutawanya sauti kutoka kwenye chombo kingine. Home theater pia ili iweze kuitwa hivyo lazima iwe na mkusanyiko wa sipika za aina mbali mbali kama Sub-woofer, spika za kati, na spika za tweeter.
Kwahiyo: Subwoofer ni sipika itowayo sauti ya Bass tuu na yenyewe kama yenyewe haichezi kitu mpaka iunganishwe na kitu kingine... Sijui Umeelewa??

Kuhusu uimara:
Kwa kweli ni matumizi yako, Kwa umeme, ziku zote uwe na protection kwa vyombo vyako. Lakini pia katika hivi vyombo kuna swala zima la matumizi ya nyumbani na matumizi ya biashara... Sasa ukinunua chombo cha matumizi ya nyumbani ukakitumia kwenye matumizi ya biashara, hakitakaa sana kitaharibika tuu. Ndiyo maana kuna Kuna vyombo vya kupigia mziki wa biashaya na mziki wa majumbani.

Natumaini sijakukwaza na maneno yangu mengi kama mganga wa kienyeji..!!!

Ni vyema umejitahidi, kwa kukuongezea tu:

Sub-woofer ni kweli kabisa kama ulivyoielezea lakini kwa siku hizi "terminology" hiyo hususan hapa kwetu wameifanya kuwa ni (loud speaker) moja inayojumuisha speaker zingine zote (full range drivers) ambazo hujumuisha (sub woofer (kama ulivyoelezea), woofer, tweeter, quack er kwenye jumba moja kama hivi:

upload_2017-4-24_13-28-33.png


Ubora wa sub-woofer na ughali wake hutegemea na mtengenezaji (manufacturer) ni nani, zenye ubora na ambazo ni ghali sana ni za akina TL, Tech TRW, Royal device, Paradigm, Bose, JB, na kadhalika ambazo hapa kwetu ukikuta zenye majina hayo dukani uchunguze sana itakuwa ni "fake", sana sana utayakuta kwa watu walionunua nje ya Tanzania na kuzileta.

Home Theater kwa maana yake halisi ni sehemu (chumba / ukumbi) wa nyumbani wa kutazamia sinema (movie) uliokamilika kwa kuwa na "video display" au "video screen" na system ya muziki uliokamilika na kusheheni vionjo vyote "different type of speakers" kama nilivyozitaja hapo juu bila kusahau vionjo kama "surround", "dolby", pro logic, audyssey DSX na kadhalika na vyenye ubora wa "theater quality". Kama hivi:

upload_2017-4-24_13-32-50.jpeg


Hii tunayooita siku hizi kuwa ni "home theater" ambayo ni "common" sana huku kwetu hujumuisha "sound system" pekee, hii kwa jina haswa ni "Home Audio system" ambayo husemwa ni "5:1 sound channel system".

Kwa hiyo kwa ufupi, redcarpet, baada ya kuzielewa hizo system, mimi nnakushauri nenda madukani katazame "home audio system" inayoendana na mfuko wako, iwe "sub woofer" au "home audio system" ambayo wengi hapa hujidanganya kuwa ni "home theater". Lakini Home theater per say, ni uongo, si wengi Tanzania hii wanayoweza kuimudu.


Sub woofer yangu hii:

upload_2017-4-24_13-34-46.jpeg
 

Attachments

  • upload_2017-4-24_13-33-46.jpeg
    upload_2017-4-24_13-33-46.jpeg
    45.7 KB · Views: 106
Yaani, huu ubuyu umeharibika japo bado najifunza lugha adimu ya Kiswahili kutoka Kwa mrembo wangu Faiza Foxy, maana naona anatema misamiati mipya kabisaaa.

Acha game iendelee !
 
Wewe wacha porojo na kubwabwaja bila mpango, kitu kama hukielewi usitake kulazimisha.

Hapa nimekubamba kuwa huna uelewa kabisa. Wacha kupotosha.

Tunakushauri wewe usidanganye, au kwenu ni sifa kudanganya au ndiyo shule uliyosomea imekujaza ujinga huo?
Nenda kajisafishe kwanza unatoa harufu hapa.
 
Ni vyema umejitahidi, kwa kukuongezea tu:

Sub-woofer ni kweli kabisa kama ulivyoielezea lakini kwa siku hizi "terminology" hiyo hususan hapa kwetu wameifanya kuwa ni (loud speaker) moja inayojumuisha speaker zingine zote (full range drivers) ambazo hujumuisha (sub woofer (kama ulivyoelezea), woofer, tweeter, quack er kwenye jumba moja kama hivi:

View attachment 500425

Ubora wa sub-woofer na ughali wake hutegemea na mtengenezaji (manufacturer) ni nani, zenye ubora na ambazo ni ghali sana ni za akina TL, Tech TRW, Royal device, Paradigm, Bose, JB, na kadhalika ambazo hapa kwetu ukikuta zenye majina hayo dukani uchunguze sana itakuwa ni "fake", sana sana utayakuta kwa watu walionunua nje ya Tanzania na kuzileta.

Home Theater kwa maana yake halisi ni sehemu (chumba / ukumbi) wa nyumbani wa kutazamia sinema (movie) uliokamilika kwa kuwa na "video display" au "video screen" na system ya muziki uliokamilika na kusheheni vionjo vyote "different type of speakers" kama nilivyozitaja hapo juu bila kusahau vionjo kama "surround", "dolby", pro logic, audyssey DSX na kadhalika na vyenye ubora wa "theater quality". Kama hivi:

View attachment 500427

Hii tunayooita siku hizi kuwa ni "home theater" ambayo ni "common" sana huku kwetu hujumuisha "sound system" pekee, hii kwa jina haswa ni "Home Audio system" ambayo husemwa ni "5:1 sound channel system".

Kwa hiyo kwa ufupi, redcarpet, baada ya kuzielewa hizo system, mimi nnakushauri nenda madukani katazame "home audio system" inayoendana na mfuko wako, iwe "sub woofer" au "home audio system" ambayo wengi hapa hujidanganya kuwa ni "home theater". Lakini Home theater per say, ni uongo, si wengi Tanzania hii wanayoweza kuimudu.


Sub woofer yangu hii:

View attachment 500430
Amazing
 
Namimi naombeni nulize jamani...hivi naweza nikanunua deck ya home theatre pekeake bila ya speaker?
maana HT yangu nataka nibadilishe deck tu ila speaker zibaki kuwa zilezile.
Soma maelezo ya deck yako lazima yaendane na uwezo wa speaker la sivyo kimojawapo kikimzidi nguvu mwenzake kitaungua au kuunguzwa.... Deck kama itatoa umeme mdogo au mkubwa kuliko uwezo wa speaker ni makosa
 
Ulitaka kumdanganya kijana wa watu nimekustukia sasa povu linakutoka.
Povu linitoke kutoka wapi
Mi sina maumbile kama yako, nimesema jambo ninalojua in a simple way, sasa wewe uliyeleta technical language unahisi kila mtu amekuelewa?
Bloody fool wewe
 
Wamekuchokoza faiza akat wanajua kabisa huna akili
Hahahhahah....nimecheka aisee
Ni vyema umejitahidi, kwa kukuongezea tu:

Sub-woofer ni kweli kabisa kama ulivyoielezea lakini kwa siku hizi "terminology" hiyo hususan hapa kwetu wameifanya kuwa ni (loud speaker) moja inayojumuisha speaker zingine zote (full range drivers) ambazo hujumuisha (sub woofer (kama ulivyoelezea), woofer, tweeter, quack er kwenye jumba moja kama hivi:

View attachment 500425

Ubora wa sub-woofer na ughali wake hutegemea na mtengenezaji (manufacturer) ni nani, zenye ubora na ambazo ni ghali sana ni za akina TL, Tech TRW, Royal device, Paradigm, Bose, JB, na kadhalika ambazo hapa kwetu ukikuta zenye majina hayo dukani uchunguze sana itakuwa ni "fake", sana sana utayakuta kwa watu walionunua nje ya Tanzania na kuzileta.

Home Theater kwa maana yake halisi ni sehemu (chumba / ukumbi) wa nyumbani wa kutazamia sinema (movie) uliokamilika kwa kuwa na "video display" au "video screen" na system ya muziki uliokamilika na kusheheni vionjo vyote "different type of speakers" kama nilivyozitaja hapo juu bila kusahau vionjo kama "surround", "dolby", pro logic, audyssey DSX na kadhalika na vyenye ubora wa "theater quality". Kama hivi:

View attachment 500427

Hii tunayooita siku hizi kuwa ni "home theater" ambayo ni "common" sana huku kwetu hujumuisha "sound system" pekee, hii kwa jina haswa ni "Home Audio system" ambayo husemwa ni "5:1 sound channel system".

Kwa hiyo kwa ufupi, redcarpet, baada ya kuzielewa hizo system, mimi nnakushauri nenda madukani katazame "home audio system" inayoendana na mfuko wako, iwe "sub woofer" au "home audio system" ambayo wengi hapa hujidanganya kuwa ni "home theater". Lakini Home theater per say, ni uongo, si wengi Tanzania hii wanayoweza kuimudu.


Sub woofer yangu hii:

View attachment 500430
 
Back
Top Bottom