Kuna Therapist humu jamvini

October man

JF-Expert Member
Nov 23, 2017
3,635
4,997
Wadau mimi nimesoma psychology napenda kuuliza kama jukwaani kuna Therapist/Mshauri anayetambulika na serikali, naulizia utaratibu wa kupata vibari ili kitambulika na serikali kama Therapist.

Pia nataka kujua fursa nzima iliyo kwenye hii professional hapa nchini kama Pschothepist wa kujitegea au kufanya kazi kwenye sectors mbalimbali kama Sector ya Afya (Hospital) na sector zingine.

AJIRA : shule inayohitaji mlezi wa wanafunzi (Patron), Mshauri wa wanafunzi naomba hiyo fursa nimesomea Psychology katika elimu pia nime specilize kufundisha History na Geography.
 
Wadau mimi nimesoma psychology napenda kuuliza kama jukwaani kuna Therapist/Mshauri anayetambulika na serikali, naulizia utaratibu wa kupata vibari ili kitambulika na serikali kama Therapist.

Pia nataka kujua fursa nzima iliyo kwenye hii professional hapa nchini kama Pschothepist wa kujitegea au kufanya kazi kwenye sectors mbalimbali kama Sector ya Afya (Hospital) na sector zingine.

AJIRA : shule inayohitaji mlezi wa wanafunzi (Patron), Mshauri wa wanafunzi naomba hiyo fursa nimesomea Psychology katika elimu pia nime specilize kufundisha History na Geography.

Ulikuwa Psychology major au umesoma Psychology kama somo tu katika B.A (Ed) ambayo nahisi pengine ndiyo umesomea? Umesomea pia Counselling (Ushauri nasaha)?

Umesoma katika ngazi gani? Awali, uzamili au uzamivu? Weka wazi ili tangazo lako liwe wazi zaidi. Good luck
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ulikuwa Psychology major au umesoma Psychology kama somo tu katika B.A (Ed) ambayo nahisi pengine ndiyo umesomea? Umesomea pia Counselling (Ushauri nasaha)?

Umesoma katika ngazi gani? Awali, uzamili au uzamivu? Weka wazi ili tangazo lako liwe wazi zaidi. Good luck
bachelor of of education in psychology.
 
Back
Top Bottom