Tetesi: Kuna tatizo la msingi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,560
Reaction score
57,885
Police wameongezwa maradufu chato why? Wananchi wa chato kwanini hawaruhusiwi kutoka nje hasa usiku? Mchana hawaruhusiwi kutoka bila kuvaa barakoa why?

Wageni kutoka mikoa mingine now hawaruhusiwi kuja chato why? mabasi ya mikoani yanayopita chato yamepunguzwa? na yanayopita yanakuwa chini ya ulinzi mkali hakuna mtu kushuka?

Vifaa tiba vinaamishwa hospital za mwanza na kupelekwa chato why? kuna nini cha ziada chato kwanini ukatae kuiweka dar under lockdown lakini chato ulipo pawe chini ya ulinzi mkali vile why chato why? .
 
Simple, Corona spread is out of control. Anajilinda na corona. Total lockdown. Anajua kuwa the situation is out of control na yeye yuko kwenye high risk. Hivyo kila mmoja anajilida kivyake (ingawa yye anatumia resources za nchi).
kama amechukua hatua hiyo Chato, basi na kwingine angelifanya hivyo. ndiyo watu walikuwa wanapigia kelele.
Mfe muishe wabaki wa Chato, TZ yote yao!
 
Mimi nauliza tu, chato yupo kwa likizo, mapumziko, ziara ya kitaifa au ni nini?

Kama ni likizo, ni ya siku ngapi? Haiishi?

Mabadiliko ni lazima hatuna budi kuyakubali. Hata mabadiliko ya ikulu kwenda chato badala ya Dodoma tuyapokee tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishasema nitawasimulia wajukuu wangu jinsi dhalimu alivyotelekeza raia na kukimbilia mafichoni.
Nitaeleza jinsi mashujaa wachache walivyobaki mjini na kupambana hadi dakika ya mwisho.
Historia itakumbukwa dhalimu alikimbia


Active Mind
 
nenda chato na wewe ukawe locked!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…