Kuna tatizo kwenye mafunzo ya askari hawa

Kuna tatizo kwenye mafunzo ya askari hawa

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,673
Reaction score
3,740
F222BF3D-9AE4-45BD-BC5F-8BAA5C877AC4.jpeg
Kupishana huku kwenye gwaride kuna kitu hakipo sawa Either uvivu, dharau, makusudi, ama mafunzo hafifu

Sifa ya askari kupimwa nidhamu ni kwata na raha ya kwata vitendo viende sawa anyway napita tu.
 
Mmoja Mpaka kofia imeanguka
Pia huyo mstari was kwanza kaweka smart phone mfukoni make..chunguza kwa umakini utaona kina Tecno ndani...sijui kama ni protocol zinataka hivyo.
 
Kwata huwa nafurahia JKT na MAGEREZA nasi...hawa wengine huwa siwaekewi sijui uvivu au mazoea tu hasa JWTZ wanarusha kidogo sana...
 
Kupishana huku kwenye gwaride kuna kitu hakipo sawa Either uvivu, dharau, makusudi, ama mafunzo hafifu

Sifa ya askari kupimwa nidhamu ni kwata na raha ya kwata vitendo viende sawa anyway napita tu.


Kuna binti namwona kwa mbali hana kofia, sijui zilikwisha store
 
Back
Top Bottom