Kuna Tatizo gani benki ya CRDB?

Kuna Tatizo gani benki ya CRDB?

Vp Standard Chartered, kuna siku nilitaka kufungua akaunti pale nikaambiwa milioni moja, aisee niliondoka kwa kasi ya 5G....
 
Mbona NMB ulipotoka ndo mkopo chap tuu au io offcn yenu awakopeshw na nmb?
 
Hawa jamaa ni wezi, hasa kwenye kutop up
Kutop up mwaka Jana nilikatwa mwaka mzima 385,000/-*12,kutop up wakanipa laki nne kwa makato ya 4,620,000/-kwa mwaka.Ni uzoefu mbaya niliopata katika maisha.
 
Vp Standard Chartered, kuna siku nilitaka kufungua akaunti pale nikaambiwa milioni moja, aisee niliondoka kwa kasi ya 5G....
Hapana. Sio kweli.

Ukiingia kwenye website yao wanaonesha kila kitu.

Binafsi nilifungua account bila hata kupita tawi lao.

Nilitumia app yao.
 
System inachukua wiki mbili kutengemaa?

CRDB honestly imekuwa Benki ya hovyo sana siku hizi. Hata kwenye huduma za Mawakala wao, kumekuwa na tatizo la mtandao kusumbua Mara Kwa Mara.
ni kweli kabisa kuna wakati unahitaji kudeposit unaambiwa network inasumbua mpaka siku 3

pia makato yao yananichosha ukiacha pesa kwenye account bila kufuatilia zinapunguzwa kidogo kidogo
 
Hapana. Sio kweli.

Ukiingia kwenye website yao wanaonesha kila kitu.

Binafsi nilifungua account bila hata kupita tawi lao.

Nilitumia app yao.
Labda hiyo ni kwa akaunti ya pesa ya madafu, mimi nilitaka kufungua ya dola ili niwe naweka vidola vyangu kutokea majuu nilipokuwa masomoni...
 
Mwenye ufahamu na mikopo ya wafanyakazi wa umma kwa benki ya AZANIA tafadhali nijuze ninatarajia kwenda huko.
 
CRDB ni ovyo mwenyewe imenichukua miezi 2 kupata mkopo, ajabu sasa makato ndio nimekoma wamekata laki 7 kwa mkopo wa mil 13. Kama processing fees.

Kesho yake nikakatwa elfu 15 statement inanambia ni fee ya kuendesha akaunti kwa mwaka. Hapa nawawaza hata sina jibu
 
Back
Top Bottom