Wale jamaa acha kabisa, walinikopesha 5m ambayo ililimwa kama138k. before kupata(wanaita sijui ma nini huko

). Nililipa 8.7 kwa miezi 36. Upumbavu wao jamaa akanitaka ni top up ilivyofika wiki ya 28, nikataka kuingia mkenge, alinipoteza alipotaka niwasilishe hati ya nyumba au kiwanja!, nilijiuliza vielelezo vipya vya nini wakat bado nilikuwa kwenye ajira ile ile tena mshahara ukiwa umepanda kwenye kampuni ile ile? Nikaona hawa wanataka ka kibanda kangu tu. Hadi leo, kama mtu una njia nyingine ya kupata mtaji japo kidogo au kujipanga kwa muda hata mwaka sikushauri ukope Bank.