Kuna takwimu lazima watu wa kanda ya ziwa lazima wawepo

Kuna takwimu lazima watu wa kanda ya ziwa lazima wawepo

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,728
Reaction score
4,075
Yaani kuna takwimu watu wa kanda ya ziwa lazima wawepo tu yaani watu wa kanda wao choo ni kama paka na panya sijui kwanini wanapenda kujisaidia porini hawa watu sijui kiufupi usitaarabu kanda ya ziwa ni No

FB_IMG_1770494721952.jpg
 
Unawafahamu mang'ati wewe!
Kwao ni mwiko kujenga/kuchimba choo. Wao kawaida akibanwa na haja kubwa, anaingia zizini kujisaidia.
Na kawaida mbwa akimuona mang'ati anazama zizini, lazima azengee kwa nyuma na pale mang'ati amalizapo haja zake, mbwa anapita na kinyesi.

Huwezi kukuta mji wa mtu kule kanda ya ziwa hauna choo.
Kwanza kanda ya ziwa hakuna pori. Karibu maeneo yote asilimia kubwa ni makazi ya watu.

Nimeishi ukaguruni huko unakuta mji hauna na wala hawafikirii kuwa na choo zaidi ya kushusha mizigo yao porini.
 
Back
Top Bottom