Yani hata sielew adi sasa na wanatoa risiti kabisa unalipiaa benki ila ukamataji wao sijaupenda kwa kweliHuku keko kila siku ya Mungu lazima wapite kupiga doria.Kuna jamaa angu alichukuliwa asubuhi kwenye nyumba yake anayoijenga wakati anabeba mchanga Akakamatwa akaingizwa kwenye defenda.kufika polisi chang'ombe wakasema walikuwa wanacheza kamali.
Yani polisi wengine wahuni tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani ila ukamataj wao sijaupenda na unalipiaa benk risit unapataHuku keko kila siku ya Mungu lazima wapite kupiga doria.Kuna jamaa angu alichukuliwa asubuhi kwenye nyumba yake anayoijenga wakati anabeba mchanga Akakamatwa akaingizwa kwenye defenda.kufika polisi chang'ombe wakasema walikuwa wanacheza kamali.
Yani polisi wengine wahuni tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana kule.Siku ya sikukuu waliondoa mahabusu wa kijingajinga wakasema tutaleta wapya siku za sikukuu
Kua mzalendoLeo nimekamatwa keko wanapaita bodi nilikua nakunywa cha ghafla difenda tukachukuliwa hadi site .iyo hakuna kujieleza utaeleza mbele na tulipo fika tukaambiwa tute fain elf 50 .hukioji vizuri wenyewe wanadai maagizo kutoka juu na wameletwa watu pale wanaenda kazini .sasa nashangaa huu utaratibugani kwa serikari yetu? Samahani sio mwandishi mzuri ila Leo nimetafuta hadi nimejuaa wapi wanaandika nami nitoe malalamiko yangu ,nawaslisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeingia 15 /10/2018 leo ndiyo umejua mahali pa kutoa maoni...!!! Na ni dakika 22 zimepita toka upost uzi huu!!!Samahani sio mwandishi mzuri ila Leo nimetafuta hadi nimejuaa wapi wanaandika nami nitoe malalamiko yangu ,nawaslisha
Mkuu umetoa mchango wa stigla goji. Vumilia tu maana maendeleo hayana chama.Leo nimekamatwa keko wanapaita bodi nilikua nakunywa cha ghafla difenda tukachukuliwa hadi site .iyo hakuna kujieleza utaeleza mbele na tulipo fika tukaambiwa tute fain elf 50 .hukioji vizuri wenyewe wanadai maagizo kutoka juu na wameletwa watu pale wanaenda kazini .sasa nashangaa huu utaratibugani kwa serikari yetu? Samahani sio mwandishi mzuri ila Leo nimetafuta hadi nimejuaa wapi wanaandika nami nitoe malalamiko yangu ,nawaslisha
Sent using Jamii Forums mobile app
we changia serikali acha kelele
Umeingia 15 /10/2018 leo ndiyo umejua mahali pa kutoa maoni...!!! Na ni dakika 22 zimepita toka upost uzi huu!!!
Leo nimekamatwa Keko wanapaita bodi nilikuwa nakunywa chai ghafla difenda tukachukuliwa hadi site. Hakuna kujieleza utaeleza mbele na tulipofika tukaambiwa tutoe faini elfe 50. Ukihoji vizuri wenyewe wanadai maagizo kutoka juu na wameletwa watu pale wanaenda kazini
Sasa nashangaa huu utaratibu gani kwa Serikali yetu?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una ushahidi wote huo, Tafuta mwanasheria upiganie haki yako.Yani hata sielew adi sasa na wanatoa risiti kabisa unalipiaa benki ila ukamataji wao sijaupenda kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh kaka nazani ni mchakato mlefuKama una ushahidi wote huo, Tafuta mwanasheria upiganie haki yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa inatafutwa kwa nguvu sana.Leo nimekamatwa Keko wanapaita bodi nilikuwa nakunywa chai ghafla difenda tukachukuliwa hadi site. Hakuna kujieleza utaeleza mbele na tulipofika tukaambiwa tutoe faini elfe 50. Ukihoji vizuri wenyewe wanadai maagizo kutoka juu na wameletwa watu pale wanaenda kazini
Sasa nashangaa huu utaratibu gani kwa Serikali yetu?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app