tinetini
Member
- Oct 15, 2018
- 72
- 45
Leo nimekamatwa Keko wanapaita bodi nilikuwa nakunywa chai ghafla difenda tukachukuliwa hadi site. Hakuna kujieleza utaeleza mbele na tulipofika tukaambiwa tutoe faini elfe 50. Ukihoji vizuri wenyewe wanadai maagizo kutoka juu na wameletwa watu pale wanaenda kazini
Sasa nashangaa huu utaratibu gani kwa Serikali yetu?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nashangaa huu utaratibu gani kwa Serikali yetu?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app