Kumbuka hii ni A Level, sio O Level.Hizi shule za binafsi tusiziamini sanaView attachment 3397312
Kuna wakati zinapaa lkn upepo Huwa unabadilika haraka mno
Huyu mbunge mtarajiwa?Tangu matokeo ya mtoto wa mkubwa mmoja kutoka na Div 4
Na huyo mtoto "kilaza" sasa kwa kumtumia Millard Ayo wanaanza kumjengea mazingira wampe viti maalum na kama wataendelea kuwepo aje awe kama Ridhiwan.Tangu matokeo ya mtoto wa mkubwa mmoja kutoka na Div 4
Mbunge alipata four ya 31 Ila aliyesababisha majina yatolewe alipata four ya 27 ilikuwa 2011 baba yake alikuwa ptezidaaaHuyu mbunge mtarajiwa?
Sasa kemebos na kaizKemobos into wanafunzi 30 tu utalingalisha na shule zenye wanafunzi wengi?
Kweli kbs ata mm ndio najua hvyWanafunzi wa Kemebos wanaofeli hupelekwa Kaizerege na Kaizerege wenye ufaulu mkubwa hupelekwa Kemebos.
kabisa na kama wanaona kuwa mwanafuzni husika hataweza pata division one wanachofanya wa kemoboz anahamishiwa kaizaerage na fedha wanapelekwa fedha internataional.FEZA, MARIAN, KEMEBOS wanabakisha vipanga tu kufanya mitihani shule zao. Si haki kulinganisha na Jangwani.
Mimi nilikuwa nawaangalia tu tangu mwanzo najisemea hawa wajinga wana publish matokeo kwa majina ya watu mtandaoni hawaoni kuwa wana violate privacy hapa?Mbunge alipata four ya 31 Ila aliyesababisha majina yatolewe alipata four ya 27 ilikuwa 2011 baba yake alikuwa ptezidaaa
Hapo st Francis huwaga wana bana sana kwenye interview zao. Lakini mm advance nilisha wai soma na demu 1 hv wa st Francis matokeo aliyopata o level na status ya shule yao ilovyo kuwa kubwa lakini advance adi 0 na 4 alaikuwa anapiga tuu. Mpka unaweza shangaa😂😂Je Hawa??View attachment 3398056
Wanapeleka wapi makapi maana hapa ni creem tupu
Walikuwa washenzi kweli na elimu za kukaririHawa ndezi wameacha kuandika majina siku hizi?