Kuna shule moja inaonyesha anguko matokeo

Kuna shule moja inaonyesha anguko matokeo

mager6

Senior Member
Joined
Jul 5, 2025
Posts
148
Reaction score
221
Hizi shule za binafsi tusiziamini sana
1000088425.jpg

Kuna wakati zinapaa lkn upepo Huwa unabadilika haraka mno
 
Hizi shule za binafsi tusiziamini sanaView attachment 3397312
Kuna wakati zinapaa lkn upepo Huwa unabadilika haraka mno
HII SHULE HAINA UZURI WOWOTE ULE. INACHAGUA WANAFUNZI BORA NA KWA HILI ANGUKO NI DALILI KUBWA KUWA INAKOLEKEA NI KULEEEE. IMEHARIBU FUTURE YA VIJANA WALIKUWA NA MATOKEA MAZURI KIDATO CHA NNE LEO HII WAMEPATA DARAJA LA TATU NA LA NNE.
 
Kaizirege mbona ya kawaida sana mkuu kwa hayo matokeo wanastahili
 
Hapo uwaga nitawi la kemebos alafu kemebos ndio yenyw ya kuuza jina sasa.
 
Hizi shule zipogo kimkakati sana unaweza enda kusoma kemebos lakn ukajikuta kaizireg kutokana na akili zako. Kwa sababu wanafanya paper nyng kabla ya kufanya usajili alafu wanajua vichwa ni wap wanapelekwa kemebos mwisho uwaga ni wan ya 5 kwa paper za ndan alafu zinakuwa ngumu sana
 
FEZA, MARIAN, KEMEBOS wanabakisha vipanga tu kufanya mitihani shule zao. Si haki kulinganisha na Jangwani.
 
Back
Top Bottom