Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,259
- 4,129
- Thread starter
- #21
Awamu hii ipo kwenye kumdiscredit magufuli tu.
They have nothing tangiable to offer.
Wapo busy kutuonesha mwenda zake this mwenda zake that ..... hii inatusaidia nini. Yeye ameshakufa na fungu lake halipo. Ni ukosefu wa akili ... . Haina maana kwa Sababu there is no means kwamba atarudi na kujutia. Kila rais anamakosa yake , JK Anamakosa yke na aliharibu nchi, mkapa ana makosa yake , Nyerere ana makosa .... hivyo haina maaana. Na suala la kifo ni suala la Muda , kila mtu atakufa ... sio suala la kumcheka Mtu
Hawaviongozi ni wahuni they neeed to be serious