Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,183
- 2,242
Kuna tetesi Azam amelipia VAR next season maana kuna cheaper alternatives ya var. FIFA introduced recently Azam na Board ya ligi wanataka kuipitisha. Kiwake next season, tutajua mchawi nani?!
note : Hawa wazee wa TFF na board ya ligi wanaweza kuzingua, wataweka rushwa mambo yawe magumu, wapo pale kwa maslahi ya Simba, Yanga, Azam sio kwa maslahi mapana ya ligi yetu 🚮. we wait the f*ols to decide.
note : Hawa wazee wa TFF na board ya ligi wanaweza kuzingua, wataweka rushwa mambo yawe magumu, wapo pale kwa maslahi ya Simba, Yanga, Azam sio kwa maslahi mapana ya ligi yetu 🚮. we wait the f*ols to decide.