Kuna oppo ya 200k?

Kuna oppo ya 200k?

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,981
Reaction score
4,116
Wakuu nahitaji sim kwa ajili ya mtoto bajeti isizidi 200k, anataka hela akanunue mwenyewe ila mimi sitaki kumpa hela.

Amesema anataka oppo tu isiwe sim nyingine, sasa nauliza naweza pata oppo kwa 200k dukani?
 
Wakuu nahitaji sim kwa ajili ya mtoto bajeti isizidi 200k, anataka hela akanunue mwenyewe ila mimi sitaki kumpa hela.

Amesema anataka oppo tu isiwe sim nyingine, sasa nauliza naweza pata oppo kwa 200k dukani?
Hupati mkuu, ila mtumba unapata, na budget ndogo hizi mara mia ukanunue Simu Tigoshop ama Vodashop ambazo zipo subsidized, utapata GB za bure na angalau simu yenye uafadhali.
 
Hupati mkuu, ila mtumba unapata, na budget ndogo hizi mara mia ukanunue Simu Tigoshop ama Vodashop ambazo zipo subsidized, utapata GB za bure na angalau simu yenye uafadhali.
Ya bei rahis inaanza bei gn
 
Inategemea na matumizi ya mlengwa hapa.

Ila oppo anapata kwa bajeti hiyo.

Mfano jaribu tafuta hii oppo F1 plus.
 
Hupati mkuu, ila mtumba unapata, na budget ndogo hizi mara mia ukanunue Simu Tigoshop ama Vodashop ambazo zipo subsidized, utapata GB za bure na angalau simu yenye uafadhali.
Kwanini usimshauri achukue Redmi 10c
 
Back
Top Bottom