assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #81
unaandika utumbo halFu unataka uachwe halaf c uende jukwaa la mmalalamiko hp c sehm ykKama ningekuwa mshauri wa Zitto, angeweza kutoka salama katika hili sagga, lakini kwa hawa washauri alionao, ni ndoto ya mchana....Wanamuangamiza maskini Zitto wa watu, nae sasa ashachanganyikiwa hata sijui kama ataweza kuhimili hizi stress.....Namshauri asiwasikilize washauri wake wa zamani