Kuna njama ndani ya CHADEMA

Kuna njama ndani ya CHADEMA

zitto amenunuliwa na ccm kwa vipande 30 kama yuda eskalioti
 
Wote Shibuda na Zitto ni wasaliti wa CDM, japokuwa wanatofautiana kimkakati. Wakati Shibuda akitumia mbinu dhaifu kama kejeli na vijembe, ZZK amefanya kazi ya muda mrefu ya kutengeneza makundi ndani ya CDM kwa ajili yake binafsi.

Hakuna hoja yeyote ZZK aliyoisimamia kwa maduni ya chama na ndio sababu hata wafuasi wake wameshindwa kutofautisha maslahi ya chama na mtu. Wanatamani CDM ife hata leo ili kumkomoa Mh. Mbowe na Dr. Slaa. Huu ni usaliti udiovumilika.
 
Mkuu awali nilikuwa naelewa km ww ila nikawa pia nahisi usariti kwa mbali ulohitaji uthibitisho hata juzi niko na wazee furan hv wa ccm tena ni mainformer nikaguswa na cost anaZotumia ZZK cortin nikaropoka "Ila ZZK wanamgarimu sn kwny hii kesi" wazee mainformer wa ccm wakanicheka sn nakuropoka garama za ccm hzo yy hana chakugarim hapo na tena analipwa hapo kwa mda anaotumia mwingne akadakia huyu kijana vp haelewi hata hyo kesi imedraftiwa na Jaji wa ccm kumpa Msando,,, Frm dat point nw nimeamin mengi sn ya usarit wa Kabwe hata zile billion amekula kweli nw yupo kuvurugga chama mahakamani na c kngne,,,kwa hili la Kabwe ss niko tayar kwa kujiamin kucmama popote kuongelea usarit wke,,,na kesho nitaendelea kuwachimba sn hawa mainformer wa ccm ntajua,,,,
cjui hata darasa la kwanza umepita?? ni aibu kwangu mm kukujibu ila ni fahari ujickie kupata responseyangu.
 
Wote Shibuda na Zitto ni wasaliti wa CDM, japokuwa wanatofautiana kimkakati. Wakati Shibuda akitumia mbinu dhaifu kama kejeli na vijembe, ZZK amefanya kazi ya muda mrefu ya kutengeneza makundi ndani ya CDM kwa ajili yake binafsi.

Hakuna hoja yeyote ZZK aliyoisimamia kwa maduni ya chama na ndio sababu hata wafuasi wake wameshindwa kutofautisha maslahi ya chama na mtu. Wanatamani CDM ife hata leo ili kumkomoa Mh. Mbowe na Dr. Slaa. Huu ni usaliti udiovumilika.
nilitaraji utajibu hiv tambua mbowe na dk wakimuona zito wanapata tumbo la kuhara ivo walkua wanamwinda kwa hali na mali a targeted mission kummaliza na sio usaliti
 
cjui hata darasa la kwanza umepita?? ni aibu kwangu mm kukujibu ila ni fahari ujickie kupata responseyangu.

nilichokigundua kwako co kujadil hoja uloleta ila unafikiri kwa kutumia tumbo hapo wawaza buku 7 kwa Nepi ucjeikosa ukishindwa mjadala hum,,,poule sn njaa ztawamalza
 
Shibuda ni mpiga kelele hana madhara ila ZZK yeye anaandaa mikakati ya kukiua chama kwa kushirikiana na ma CCM yupi ni hatari kwa uhai wa chama kati ya hawa?
 
Kuna siri kwa wakubwa lkn sisi walalahoi tunafuata mkumbo tu kwa kuwatetea viongozi wetu wakati wanamakosa sana
 
Hakika umetumwa na magamba.
MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.

Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.

My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
 
hakika zito anatolewa kafara kwa sababu ya posho, uenyekiti, matumizi mabya ya rasilimali za chama alizokua akihoji suala la usaliti ni kama waingereza wanavyosema give a dog a bad name in order to kill it, kwa wanapenda sana mbwa hivo kumuua lazima useme anakula vifaranga nk je kamati kuu mbona shibuda muda wote mmemuacha ni kwa kuwa hazuii mirija yenu, vilevile mnamuona sio threat, waraka wamabadiliko walioandaa wamekiri wazi zito hahusiki mnakazania tu je kwann tusiamini kwamba kuna hidden agenda na si usaliti

Ni kweli mkuu ujue tunaumiza vichwa sana lkn tayari tushagundua madudu mengi sana juu ya mambo wanayoyafanya mwenyekiti na katibu wake,lkn mungu ataliweka wazi na kuwafedhehesha tu.
 
Mkuu awali nilikuwa naelewa km ww ila nikawa pia nahisi usariti kwa mbali ulohitaji uthibitisho hata juzi niko na wazee furan hv wa ccm tena ni mainformer nikaguswa na cost anaZotumia ZZK cortin nikaropoka "Ila ZZK wanamgarimu sn kwny hii kesi" wazee mainformer wa ccm wakanicheka sn nakuropoka garama za ccm hzo yy hana chakugarim hapo na tena analipwa hapo kwa mda anaotumia mwingne akadakia huyu kijana vp haelewi hata hyo kesi imedraftiwa na Jaji wa ccm kumpa Msando,,, Frm dat point nw nimeamin mengi sn ya usarit wa Kabwe hata zile billion amekula kweli nw yupo kuvurugga chama mahakamani na c kngne,,,kwa hili la Kabwe ss niko tayar kwa kujiamin kucmama popote kuongelea usarit wke,,,na kesho nitaendelea kuwachimba sn hawa mainformer wa ccm ntajua,,,,

Acha umburura wewe,kila utakaloambiwa utaamini tu??mm nimesikia mtei ndio kampa pesa na gjarama zote za mahkamani,sa tuamini lipi hapo??fitna tu
 
Hakika CCM hawakutarajia lakini mnatakiwa kuelewa kwamba hii nchi sahiv watu wamesoma kama nyie,wanajua kama nyie na hata fitina wanaijua kama nyinyi tatizo ni kwamba hamkutegemea hayo, na kweli ni Muhogo mwingine mchungu kwenu,hii ndo CHADEMA!
MKOMBOZI WA WANYONGE,HAUTAKI KULA KONA.
 
Kamati mbona hadidu rejea mh shibuda hayupo mnamuonea zito kwa kuwa yeye ni tishio kuliko shibuda ???

ZZK amekwisha potea katika ramani ya siasa za Tanzania sasa ndio tutajia yeye na CDM nani zaidi.
 
Sina uhakika lkn yawezekana shibuda kahusu kaskazini au kaoa huko,au kwa vile hajataka uenyekiti na kutaka kufichua maovu ya mwenyekiti juu ya uharibifu wa fedha ndio maana hawamuhitaji
 
MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.

Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.

My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi
Umewaomba hata Mods wasiondoe ili tujadili assumption yako, kifupi ni kwamba Shibuda hana effect yeyote hata kama atasema nini juu ya chama, hii ni kutokana na mambo mengi ikiwa ni pamoja na nafasi yake katika chama na ushawishi wake. Hivi leo hii akiongea Shibuda kuna mtanzania yeyote anayefikirisha ubongo wake eti Shibuda katamka neno? Labda familia yake ambayo inasababu za msingi zakufanya hivyo. Unalinganishaje kosa la Shibuda na Zito? hebu jalibukuorozesha uone kama yanalingana jambo yote ni usaliti. Mtu akihukumiwa kunyongwa kwa sharia ya TZ ni kwa sababu kauwa, kwa wanaotukana wanahukumiwa kunyongwa?
 
MODS HEMBU ACHENI HII CHANGAMOTO YA USALITI TUICHAMBUE (acheni huu uzi)
Ndugu wadau hususan wana jf nimekuwa nikifatilia siasa ndan ya chadema kwa muda mrefu hasa juu ya kile kinachotafsiriwa usaliti wa mh zzk na kufikia hatua ya kujiuliza maswali mengi mf kati ya mh zzk na shibuda hiv ni nan hasa msaliti.

Mara nying tumekuwa tukimuona mh shibuda akijitokeza wazi kwenye vikao na mikutano ya ccm na kukisema chama kimafumbo lakin hatujawah kusikia chama kikimjadili kama wanavyomjadili sasa mh zzk ambaye mara nying amekuwa akijitoa kujenga chama katika mikoa mbalimbali tofaut na shibuda.

My take:
usaliti unaodaiwa kwa mh zzk ni kete tu inayotumiwa na wakuu wa chama ili kumdhoofisha bado naamin kuna sababu nyingine ambayo inagusa maslahi ya wakuu wake na si muda mrefu kila kitu kitakuwa wazi. Mungu atatenda haki na unafiki wao utawekwa wazi

umeme umepanda bei hivi unalitambua hili? Au unayajua ya chadema tuu?zz
 
Kuna siri kwa wakubwa lkn sisi walalahoi tunafuata mkumbo tu kwa kuwatetea viongozi wetu wakati wanamakosa sana

Join Date : 4th January 2014
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received 0

Likes Given 16



Hii inaonyesha ni jinsi gani lumumba B7 fc inavyojitahidi kufanya usajili mpya wakati huu wa dirisha dogo.
 
Back
Top Bottom