Jamani hivi TCU ndo nini? Au ndo UDA, RICHMOND, DOWANS, EPA, MEREMETA, IPTL, KAGODA, HESLB, NECTA, NEC, TTCL, TLP, UDOM?
Watanzania bwana tuna mambo mengi sana ya kifisadi fisadi na hatukosi kulalamika na hatuchukui hatu. Anyway MUNGU ataturehemu na haya majanga ya kujitakia.