Jaman waalimu wa Tuitionz moshi mjini wanapatikana kwa upande wa phys bios and chems?? Au ndo hivyo m2 akifunga skuli mpaka Dar ndo atapata waalimu wakali??
Wanamwita gari moshi manake unatangulia moshi kabla hajatokea,ila ana mikwala na madaftar yake alyosomea advanc,yule babu wa namba me ndo namkubali alikuwa anashusha namba bila kitabu na pombe zikiwa kichwan
huyo atakuwa madam utata bila shaka mkuu, ticha asiyeolewa mpaka kufikia umri ule.... ila alipata mchumba na sasa kaolewa na pale amehamishwa..alikuwa mwalim wangu wa domitory MAWENZI 3
dogo pora, duh hilo jina la pora nimekumbuka mbali sana, kulikuwa kuna kitu kinaitwa pora marathoni kutoka shengena hadi dh kila siku majira ya saa kumi na 2 asubuhi.
Fanya mchezo na pora!
huyo atakuwa madam utata bila shaka mkuu, ticha asiyeolewa mpaka kufikia umri ule.... ila alipata mchumba na sasa kaolewa na pale amehamishwa..alikuwa mwalim wangu wa domitory MAWENZI 3