Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
Dah, mzee Ommy... nakumbuka peregee. Kuna mwalimu wa chakula alikua anaitwa Lisapita sijui bado yupo?
Toxicer, Kuhusu mambo ya prepo hiyo ni wewe tu, hakuna mtu ana time na wewe,shule iko very free, ukiamua kuishi mtaani, sawa, ukiamua kushinda library ya town sawa, ila kilichokua kinanikera ni kulazimishwa kurudi darasani baada ya chakula cha mchana na waalimu kulipwa kama hela ya ziada. Tulikua tunatozwa mchango wa lazima elfu 10 ila niliwahi ongoza mgomo 2003..
nilitoka hapo 2009, na mwaka jana mwishoni nilipitia gamba langu, mazingira ni yaleyale ila waliongeza michepuo ya arts, kwa sasa h/m anaitwa Angalo aliyekuwa anafundisha physics kinunda still yupo na hajaacha mkawara wake.
Inspecta chami yupo pia
kwa upande wa accademic dogo nikwambie pale ni wewe na akili kichwani, ukitaka kusoma utatoka, ukiwa mpenda starehe hakuna wa kukufuatilia.
Walimu wapo wa kutosha na wanahudhuria vipindi bila kudoji ila hawana time y kumfuatili mwnafunzi kama ameingia darasani au la
pia kuna maabara tatu za physics chemistry na biology na practical ni kila wiki.
"ONGOZA VYEMA ANGAZA"
Aisee nyie kwanza naanza kimaro mbao, alafu Yule dereva wa lile Lori, alafu kaka yake kinunda/Niko alikuwa anaitwa ngwinya/marehemu kwa sasa, kinunda nimepiga NAE fegi sana pale kibo bloc 4 na bangaloo, bisha uoneHivi huyu atakiwa ajafa...Maana jamaa kwa siku anavuta pakti tano za sigara..
Dogoooo Google MTU anaitwa Justin kisoka utajua product za old Moshi ziko vipi, pia ulizia mseleUlikua PCM au PCB mkuu? ...Hata mm nimetoka hapo mwaka 2009....Teh teh...
Aisee nyie kwanza naanza kimaro mbao, alafu Yule dereva wa lile Lori, alafu kaka yake kinunda/Niko alikuwa anaitwa ngwinya/marehemu kwa sasa, kinunda nimepiga NAE fegi sana pale kibo bloc 4 na bangaloo, bisha uone
Tedo tuanze kubishana miakaNibisheje tena mkuu...Umemaliza yote...Hivi yule maza mnoko aliyekuwa jirani na Kinunda nilikuwa namchukia balaa....Alishawi nipigisha deki ati kula staff room kisa sikufyeka eneo khaa!!!!!
Halafu inaelekea unapenda uabishi sana wewe....Halafu inaelekea we wa kitambo sana hapo Oldbizo...Tedo tuanze kubishana miaka
Halafu inaelekea unapenda uabishi sana wewe....Halafu inaelekea we wa kitambo sana hapo Oldbizo...
Deniiiiiii mambo vipi kakaaaaa naona haujajificha kabsaaaaaaaDah gud boy Congratulation
Mi nlikuwa pale wakati headmaster akiwa ni Mr msele uko hapo?Halafu inaelekea unapenda uabishi sana wewe....Halafu inaelekea we wa kitambo sana hapo Oldbizo...
Ulikua PCM au PCB mkuu? ...Hata mm nimetoka hapo mwaka 2009....Teh teh...
Dogoooo Google MTU anaitwa Justin kisoka utajua product za old Moshi ziko vipi, pia ulizia msele
Vp maticha wa tuitionz moshi mjini wanapatikana kwa upande wa Phys , Bios and Chems??????
We nani wee mbona kama nakujua vile nitaku PMDah wadau wa Old Moshi High School mmenikumbusha mbali sana. Nakumbuka those years early 90s tukiwa O level kulikuwa na headmaster aliyeitwa Mtui (RIP). KJJ Mtui alikuwa bomba sana alikuwa akihutubia school assembly anamaliza na slogan yake ya Love your school, love one another.
Kwa wale wanaokwenda pale A level ukiwa serious utafaulu vyema kwani mazingira ni rafiki hakuna wa kukufuatilia na jua wajibu wako. Nawakumbuka walimu wa A-Level ( Chemistry- Mama Samanya, Mama Mlingi na Ngwinya) Biology kulikuwa na Mama Kimaro (RIP) Mama Rutazaa, Physics -Shayo na Maths- Kinunda duh dogo anavuta fegi kama kapagawa. Kuna walimu wengine O level nawakumbuka Lisapita, Kimbi Mzee wa French. Yaani nikikumbuka "Ongoza vema Angaza" nasisimka.
mkuu nilifanya Pcb, nilikuwa meru 13 aka white house alipokuwa hp wako maleke hans
Mi nlikuwa pale wakati headmaster akiwa ni Mr msele uko hapo?