bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,358
- 6,810
Ukiwa ni mvaaji regular kama mimi unajua tu.Yani ukanunue miwani ya macho kuendana na fashion ipi sasa? Mie navaa sababu sina option zaid ya miwani. Na nimenunua ya 50K na miwani iko super kabisa