SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,855
- 8,248
**** "Sensation"
Sasa wewe umejuaje wanaenda kwenye kikao, au wanatoka kwenye kikao, na huo ugafla umejuaje.Kuna foleni kubwa hapa maeneo ya Mwenge..foleni imefika hadi Victoria.
Kumbe kuna msafara wa CDF wa magari zaidi ya 16 yanatokea Lugalo ukiambata na Majenerali..
Hawa jamaa wakianza vikao vya ghafla kama hivi ujue kuna jambo
vp kapinduliwa?View attachment 2470040
Mungu ametenda jambo juu ya Tanzania
Yeye sio wa Kwanza, Magufuli alitengua wawili, Na hakuna tatizo, kazi hizo zina miiko yake.Unamtengua mkurugenzi wa usalama as if unamtengua waziri.....
Acha upimbi we poyoyo. Nenda kalaleKuna foleni kubwa hapa maeneo ya Mwenge..foleni imefika hadi Victoria.
Kumbe kuna msafara wa CDF wa magari zaidi ya 16 yanatokea Lugalo ukiambata na Majenerali..
Hawa jamaa wakianza vikao vya ghafla kama hivi ujue kuna jambo
View attachment 2470040
Mungu ametenda jambo juu ya Tanzania
Kigogo 2014 Kesha kiwasha tweeter huko, anasema Kuna jambo zito linakwenda kutokea sijui jambo gani hataki kufunguka.
Acha ushamba wewe, mbona ni kama vile haujaelimika? Aliyemteua ndiye mwenye mamlaka ya kumtengua period. Inawezekana hata Katiba yako huijui, idiot.Unamtengua mkurugenzi wa usalama as if unamtengua waziri.....
Mzee wako ni mjinga aliyezeeka😂😂😂nipo na mzee wangu hapa nimesmomea huu uzi anasema lolote na liwe Tumechoka..nikaghuna tu sijamuuliza kitu...
Mara ya mwisho ulienda lini U.S.A maana sisi wengine tunaangalia You tube, nilijaribu kuandika U.S.A. president code, nikagundua magari ni mengi zikiwemo pikiki, nikagundua hata tukiuza gari zote, zilizpo kwenye msafara wa rais wa Tanzania, fedha zake haziwezi kununua gari moja la rais wa marekani.USA na super power countries ukienda huwezi Kuona misafara mingi mingi.
Safari za ndani ya nchi zinatumika hell copter.
Muulize hell copter ndio kitu ganiMara ya mwisho ulienda lini U.S.A maana sisi wengine tunaangalia You tube, nilijaribu kuandika U.S.A. president code, nikagundua magari ni mengi zikiwemo pikiki, nikagundua hata tukiuza gari zote, zilizpo kwenye msafara wa rais wa Tanzania, fedha zake haziwezi kununua gari moja la rais wa marekani.
Hapo bado magari mengine na vikorombwezo vyake, ni nikaona msafara wa rais wa marekani ni wa garama kubwa kuliko msafara wa kwetu, ila moyoni nikajisemea siyo wakujiringanisha nao.
Ila nyie mliuona msafara rais wa marekani kwa macho yenu huko marekani ndiyo mnaona ukweli, kuliko tunayoyaona youtube.
Atakua kamaanisha edikopta 😁Muulize hell copter ndio kitu gani
Mpaka Kigogo mwenye tambo zile amerudiKuna mtikisiko huko jumba jeupe bila shaka. Mama atakuwa amemnasa mtu kibao.
Zaidi atakwambia ni hedkopta kwa sauti ya mtanzania halisi.Muulize hell copter ndio kitu gani
Hahahahaha mkuu utadhani ulikuwa kwenye akili yangu.Atakua kamaanisha edikopta 😁
Lini tena walifanya ?Kuna foleni kubwa hapa maeneo ya Mwenge..foleni imefika hadi Victoria.
Kumbe kuna msafara wa CDF wa magari zaidi ya 16 yanatokea Lugalo ukiambata na Majenerali..
Hawa jamaa wakianza vikao vya ghafla kama hivi ujue kuna jambo