Kuna nini kinaendelea?

Kuna nini kinaendelea?

Unamwamini huyo mjinga
Kigogo ni mmoja wao hukohuko serikalini, Tena ni waziri ambaye Yuko karibu na Rais wa Sasa, unaachaje kumuamini? Yawezekana hata Rais mwenyewe hajui kama jamaa ndo likigogo la tweeter
 
Yeye sio wa Kwanza, Magufuli alitengua wawili, Na hakuna tatizo, kazi hizo zina miiko yake.
Watu wajinga sana kila akitenguliwa mtu flani mkubwa basi zitakuja tetesi za kila aina, utafikiri ni kitu cha ajabu sana kutengua
 
Back
Top Bottom