😂Kuna mtikisiko huko jumba jeupe bila shaka. Mama atakuwa amemnasa mtu kibao.
Bongo nyoso..!😅😅😅😆Kuna foleni kubwa hapa maeneo ya Mwenge..foleni imefika hadi Victoria.
Kumbe kuna msafara wa CDF wa magari zaidi ya 16 yanatokea Lugalo ukiambata na Majenerali..
Hawa jamaa wakianza vikao vya ghafla kama hivi ujue kuna jambo
Bado mnasumbuka na huyu mtu?View attachment 2470040
Mungu ametenda jambo juu ya Tanzania
Kaeni nae Hukohuko MWENGE huku mbagala hatumtakiItakuwa diwani anakimbia kutoka mwenge kuelekea mbagala
Kigogo 2014 Kesha kiwasha tweeter huko, anasema Kuna jambo zito linakwenda kutokea sijui jambo gani hataki kufunguka.Kuna foleni kubwa hapa maeneo ya Mwenge..foleni imefika hadi Victoria.
Kumbe kuna msafara wa CDF wa magari zaidi ya 16 yanatokea Lugalo ukiambata na Majenerali..
Hawa jamaa wakianza vikao vya ghafla kama hivi ujue kuna jambo
Acha hizo mkuu...Kuna foleni kubwa hapa maeneo ya Mwenge..foleni imefika hadi Victoria.
Kumbe kuna msafara wa CDF wa magari zaidi ya 16 yanatokea Lugalo ukiambata na Majenerali..
Hawa jamaa wakianza vikao vya ghafla kama hivi ujue kuna jambo
Uko makini hapo Mwenge kuangalianamba za magari za Jeshi daah mpaka ukajua na za majenerali wengine safi sanaKuna foleni kubwa hapa maeneo ya Mwenge..foleni imefika hadi Victoria.
Kumbe kuna msafara wa CDF wa magari zaidi ya 16 yanatokea Lugalo ukiambata na Majenerali..
Hawa jamaa wakianza vikao vya ghafla kama hivi ujue kuna jambo
weka picha yake tumjue huyo Athumani gani huyo na balaa gani kazuaAthuman kazua balaaa
Kama hujamfahamu siyo lazima ukamjua saivi hata mwakani ni poa be patientweka picha yake tumjue huyo Athumani gani huyo na balaa gani kazua
👍👍👍Watanzania tunapenda sana attention!
Hakuna lolote la ajabu lilitokea au linalotokea wala litakalotokea.
sawaKama hujamfahamu siyo lazima ukamjua saivi hata mwakani ni poa be patient