Mkuu wewe hujui ile kampuni kubwa ya madini ya Tanzanite mkulu ana hisa kiasi gani?
Mwanzoni alikuwa anamtumia mwanae(Ridhwani), lakini baada ya issue ya china, Mkwele kaamua kukamata mikoba mwenyewe.
Yeye si Vasco da Gama? na Arusha ni 'Geneva' ya Afrika
Mkuu wewe hujui ile kampuni kubwa ya madini ya Tanzanite mkulu ana hisa kiasi gani?
Mwanzoni alikuwa anamtumia mwanae(Ridhwani), lakini baada ya issue ya china, Mkwele kaamua kukamata mikoba mwenyewe.
kwaekeza, viota vyake vya mapumziko vyote viko pande hiyo .... ukizingatia kitim tim cha dom lazima akapumzike .....
Nimepata picha za jk akiwa na viongozi wa dini jana nimeshindwa jinzi ya kuziweka
Kwa hyo ulitaka aje kumtembelea mkeo au?
Kaka huoni hata hizo sura zinafanana na Mr dhaifu?Ndo kina nani hawa?
Ulitaka aende Mwanza au Mbeya akazomewe?
Jamaa mjanja sana
Kwa hiyo Arusha ndio kuna washabiki wake wengi zaidi ya mikoa ulioitaja?
Geneva of Africa ilikuwa zamani mkuu siku hizi panaitwa ' Mkoa wa vurugu na wasiopenda maendeleo'