Kuna nini Arusha? Rais ziarani Arusha tena

Kuna nini Arusha? Rais ziarani Arusha tena

Kule anaendaga ku consume his own goods, wachumi watanielewa, yaani kile kitendo cha Producer wa Product au Servise kuwa ndo huyo huyo mnunuzi wa hiyo product au service ndo anacho fanya mkuu, hata ikendaga kule Serengeti anacho fanya ni kwenda kununu huduma anazo zalisha mwenyewe means anajiuzia
 
Like father like son

481700_4364700009771_36504758_n.jpg

Machalii wanakula Nchi si Mchezo, the more TRA wanavyo wakamua Wabongo ndo the more hawa jamaa wanazidi kutesa, inanikumbusha watoto wa Sadamu Husen sijui wako vile kwa sasa
 
Machalii wanakula Nchi si Mchezo, the more TRA wanavyo wakamua Wabongo ndo the more hawa jamaa wanazidi kutesa, inanikumbusha watoto wa Sadamu Husen sijui wako vile kwa sasa
Waliuwawa kama vibaka na baba yao alishuhudia kwa macho yake akivishwa kitanzi kuchomoa roho yake.Binadamu wagumu kujifunza
 
Hapo kwenye nyekundu ni ipi hiyo?

Rizwan alikamatwa na poda China ilibidi ale kitanzi mkuu Kikwete akaenda kuua soo usiku wa manane na ameshaitoa mikoa ya kusini yote kwa wachina wawekeze ili kumuokoa Ridhwani mooduke
 
Last edited by a moderator:
Rizwan alikamatwa na poda China ilibidi ale kitanzi mkuu Kikwete akaenda kuua soo usiku wa manane na ameshaitoa mikoa ya kusini yote kwa wachina wawekeze ili kumuokoa Ridhwani mooduke
kwa hiyo watu wa Ntwala & lindi wameuzwa?
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo watu wa Ntwala & lindi wameuzwa?

mm.kwere kam save mwanae maana alikua anachezea kitanza.... yaani Ntwara na Lindi kuanzia 2013 tutarajie kuona Wachina kibao kule na kutakua na intermarriage..hahaaaa
 
Walisema wahenga wa wenzetu-"Damned if you do damned if dont"
 
Duh... hii habari sikuwa nimeipata kikamilifu.....hii kwa kweli ni hatari.

Rizwan alikamatwa na poda China ilibidi ale kitanzi mkuu Kikwete akaenda kuua soo usiku wa manane na ameshaitoa mikoa ya kusini yote kwa wachina wawekeze ili kumuokoa Ridhwani mooduke
 
Pale maeneo ya hospitali ya maunt meru kuna vibaka wanakaba mchana kweupe! Cha kushangaza kuna eneo la km 40 eneo halina taa ukifika usiku konda anasema fungeni vioo jamani! Lakini lakushangaza watu wanaporwa kwa wezi kufungua vioo wakiwa nje! Tunaomba serikali dhaifu iweke taa maeneo hayo.
 
TANZANIA ina mikoa 30 lakini tangu mheshimiwa rais atinge ikulu kwa term ya pili 2010 kuna mikoa hajatembelea kabisa kujua maendeleo, lakiniArusha imekuwa kila mwezi kwa nini???

mikutano mingi hufanyika Arusha,hivyo yupo kazini una jingine?
 
on his way to vacation ya December Ngorongoro,Serengeti ikoma!
 
ameenda kubembea maana alikuwa hali mbaya sana pale dodoma mpaka kaleta usalama wa taifa kumsaidia unazni ulikuwa mchezo. yeye akapumzike maana hata afya yake nimashaka asije akadodoka tena ikulu
 
Najua yule ni rahisi wa nchi lakini mbona arudirudi mara 2 2 ? Kuna nini chuga? Hebu tujue kuna nini huko Arusha?
 
Toka amfisidi Kamanda lema ubunge Dhaifu amepata ujasiri kuja hapa mjini ila huwa anaishia Ngurdoto.
 
Back
Top Bottom