Kuna nchi wanawake wananyanyasika sana

Kuna nchi wanawake wananyanyasika sana

jamaikatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
379
Reaction score
1,304
Kuna nchi wanawake wananyanyasika sana kama
Saudi Arabia,
Yemen
Oman
Iran.iraq
Afghanistan
UAE
Qutar n.k.........
 

Attachments

  • 1755617605916_1.jpg
    1755617605916_1.jpg
    109.7 KB · Views: 23
Vile wanawake kuvaa uchi ikapelekea kudhalilishwa utu wao hawanyanyasiki?

Wakristo rekebisheni kwenu kwanza hlf ndo muende nyumba ya jirani
 
Hakuna Mila za kipuuzi duniani kama Mila za kiarabu
 
Kibaya chajiuza , kizuri jajisitiri.
Huko unakosema wanawake wananyanyaswa wanaishi kama malikia.
Hapangi foleni, habanani kwenye gari na wanaume, halipi bili yoyote ya nyumbani hata kama ana pesa zake binafsi, wanaongoza taasisi na makampuni makubwa. Wako mawaziri na viongozi serikalini, havai nguo za kuonesha utupu.
 
Back
Top Bottom