Kibaya chajiuza , kizuri jajisitiri.
Huko unakosema wanawake wananyanyaswa wanaishi kama malikia.
Hapangi foleni, habanani kwenye gari na wanaume, halipi bili yoyote ya nyumbani hata kama ana pesa zake binafsi, wanaongoza taasisi na makampuni makubwa. Wako mawaziri na viongozi serikalini, havai nguo za kuonesha utupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.