Weka pichaKwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
Weka pichaKwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
Una kitu kwenye uzi wako, ila watu hawajakuelewa!!!
kwani mbagala ipo wapi.....Anga lipi unalozungumzia maana Dar es Salaam ni kubwa sana! isijekuwa umemuona Mbagala ukasema anga la Dar es Salaam...
Ahahahahahahaa akiona umeanika nguo nyeupe au unakinga maji na haja kubwa mnamshika hapo hapo ilimradi akuharibieSijawahi kuona mwewe...kuna kunguru wa dar hawa wanabeba hadi chupi ukianika pambaff
Ha ha ha thawa mkuu, thirudiiKuchekeshana kwa sauti usirudie
Yaani kwenye nguo nyeupe usiseme wanaharibu sanaAhahahahahahaa akiona umeanika nguo nyeupe au unakinga maji na haja kubwa mnamshika hapo hapo ilimradi akuharibie
Faru John kafaKwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?