Kuna mwewe anga la Dar es Salaam

Kuna mwewe anga la Dar es Salaam

Na wakipita pita juu heri kuwakwepa hawakawii kukudondoshea utumbo wa kuku kichwani
Hawa Kunguru nilianza kuwaheshimu siku nilipomshuhudia katua juu ya kalai linalochemka la mchoma chips. Kunguru yule. Akazamisha mdomo. Kuibuka! akachomoka na kipapatio!
 
Kwa zaidi ya wiki nimekuwa namuona ndege aina ya mwewe anga la Darisalama, hasa nyakati za asubuhi. Hivi huyu mwewe kurandaranda angani inamaanisha nini, au kuna mizoga sehemu?
Nimekuja mbiiio najua kuna picha
 
Hawa Kunguru nilianza kuwaheshimu siku nilipomshuhudia katua juu ya kalai linalochemka la mchoma chips. Kunguru yule. Akazamisha mdomo. Kuibuka! akachomoka na kipapatio!
😀😀😀😀
Kunguru wa dar
 
Sijawahi kuona mwewe...kuna kunguru wa dar hawa wanabeba hadi chupi ukianika pambaff
Chupi zako zinakiarufu ya papuchi kunguru wanadindisha wakasikia kiarufu wanaona waamishie getoni waligie puchu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hawa Kunguru nilianza kuwaheshimu siku nilipomshuhudia katua juu ya kalai linalochemka la mchoma chips. Kunguru yule. Akazamisha mdomo. Kuibuka! akachomoka na kipapatio!
Haaa jamani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hawa Kunguru nilianza kuwaheshimu siku nilipomshuhudia katua juu ya kalai linalochemka la mchoma chips. Kunguru yule. Akazamisha mdomo. Kuibuka! akachomoka na kipapatio!
Hahaaaaaaaaaaaa sili tena magengeni
 
Huku kwetu Kimara kuna bundi mwewe ilikua zamani tena usiku wa kiza kinene
 
Kafungwa camera ya canon,katokea Kwa bwana yule alorudia uchaguz wa urais,
Huyu ni spy Hata mimi nimemwona mkuu.
 
nikichukua maudhui ya hoja yako nikilinganisha na logo katika avatar yako naona wazi mzani unabance katika uwiano sawa, ukivuta bangi kwa mara ya kwanza haya ndio madhara yake, hizo ni experience ndogo ndogo tu kwa kila mvuta bangi
 
Back
Top Bottom