PeterLugomo
Member
- Aug 27, 2015
- 19
- 17
Kuna mwenye idea na course zitolewazo na osha, nafasi ya ajira baada ya hizo course, maeneo gan ya kufanyia kazi.
Tafadhali naomba msaada
Tafadhali naomba msaada
Yah sababu namie nnataka nisome course zao..kwahyo nataka nijue kama Uhakika wa ajira zao baada ya kozi uko vipi.Na ww unasubiri maelezo enh