Kuna mwanamke ananipenda lakini mapenzi hataki kunipa

Kuna mwanamke ananipenda lakini mapenzi hataki kunipa

tadashi

Member
Joined
May 5, 2013
Posts
18
Reaction score
0
Kuna mwamke mwaka wa pili namtongoza ananipenda sana lakini mapenzi ataki kutoa wana JF, naomba msaada?
 
Hataki kuchezewa huyo kama vipi subiri amalize masomo muoane halafu uone kama ataendelea kubana
 
Tafuta njia mbadala ya kukidhi hja zko wakati unamgoja yy kukupa penzi
 
mi nilijua uko chuo mwaka wa pili, kumbe unabembeleza penzi mwaka wa pili duh!!na hukati tamaa tuu una moyo? umebaki mwaka mmoja walioko vyuoni wanamaliza shahada zao, kazana tuu
 
kuna mwamke mwaka wa pili namtongoza ananipenda sana denda kwake sio tatizo lakin mapenzi ataki kutoa wana jf naomba msaada?

Denda ni penzi tosha kwa mtu kama wewe ambaye hujafunga ndoa wala hujamvika pete ya uchumba wala hujamtambulisha kwenu na wala hamjapima ukimwi na kujua kama bado hamjaathirika ingawa mnaweza ambukizana kwa denda pia. Muwe na hofu ya Mungu.
 
mpangishie chumba hotelini na all meals awe amelipiwa pale Kempiski/serena, na gari yake ukimnunulia liwe na mafuta mda wote full tank ect
 
Huyo mwanamke atakuwa ana msimamo sana. Anasubiri muda muafaka then atakupa unachohitaji. Hata vitabu vya Mungu vinatuasa kuwa hakuna kufanya ngono mpaka umehalalishwa either kanisani au msikitini, na hayo ndiyo maadili mema ambayo wazazi wetu waliyafuata. Yawezekana huyo mwanadada amekulia katika maadili mema akisubiri muda muafaka wa hilo tendo. Fungeni ndoa then atakuwa huru kwako tadashi.
 
Ulishamruhusu ashike dushe yako?
hili nalo laweza kuwa tatizo....

EVE. umeona usumbufu huo niliokuwa nakuambia? sasa kama mtu anampenda kwa nini kumtesa namna hiyo hadi mtu anakuja omba msaada jf.kama mtu hamtaki kwa nini kumpa matumaini namna hiyo.hakuna mateso makubwa duniani kama mateso ya kisaikolojia.Unakumbuka mada yangu ya "mwanamke akikutesa atateseka kimahaba baadae"
 
Kijana kazana kusoma uje uisadie na kuijenga familia yako. Hata uandishi wako si mzuri maneno kama "mwamke" ndiyo nini?
 
Huyo mwanamke atakuwa ana msimamo sana. Anasubiri muda muafaka then atakupa unachohitaji. Hata vitabu vya Mungu vinatuasa kuwa hakuna kufanya ngono mpaka umehalalishwa either kanisani au msikitini, na hayo ndiyo maadili mema ambayo wazazi wetu waliyafuata. Yawezekana huyo mwanadada amekulia katika maadili mema akisubiri muda muafaka wa hilo tendo. Fungeni ndoa then atakuwa huru kwako tadashi.

Mwenye hofu ya Mungu adendeki na mwanaume hata siku moja.....
 
EVE. umeona usumbufu huo niliokuwa nakuambia? sasa kama mtu anampenda kwa nini kumtesa namna hiyo hadi mtu anakuja omba msaada jf.kama mtu hamtaki kwa nini kumpa matumaini namna hiyo.hakuna mateso makubwa duniani kama mateso ya kisaikolojia.Unakumbuka mada yangu ya "mwanamke akikutesa atateseka kimahaba baadae"

we si ndo ulikuwa unasupport kuwa dem akikusumbua ndo anakupenda?
mi ningekuwa mwanaume natongoza mara moja tu hataki sepa
ntavuta mwingine pozi za nini kwani yake ina maua alaah!!!
 
Back
Top Bottom